Kama una sifa zifuatazo, nakuhitaji kwa hali na mali, karibu tuyajenge

Kama una sifa zifuatazo, nakuhitaji kwa hali na mali, karibu tuyajenge

Mleta mada kwa hizo sifa za mwanamke labda uwe na utajiri dizaini ya Aliko Dangote.
Lakini utakuta mleta mada anatumia tekno au itel amejipinda kuandika kurasa kadhaa kutafuta binti wa kumla Mbususu.
Toka hadharani useme net Worth yako ni ngapi?
Sio vigezo kibao wakati unaishi room moja au mbili za kupanga huyo binti mwenye sifa hizo hutoweza kumtunza.
 
Wanawake wa aina hiyo waliokuwepo huko 5century ILA KWA karne hii[emoji849][emoji849]na ukimpata huyo mchumba niambie maana kuna kaka zangu wanawataka wanawake wa aina hiyo
 
Mleta mada kwa hizo sifa za mwanamke labda uwe na utajiri dizaini ya Aliko Dangote.
Lakini utakuta mleta mada anatumia tekno au itel amejipinda kuandika kurasa kadhaa kutafuta binti wa kumla Mbususu.
Toka hadharani useme net Worth yako ni ngapi?
Sio vigezo kibao wakati unaishi room moja au mbili za kupanga huyo binti mwenye sifa hizo hutoweza kumtunza.

Nasubiria ajibu
Ashasema mwanamke awe ana uwezo wa kujihudumia mwenyewe
 
Mleta mada kwa hizo sifa za mwanamke labda uwe na utajiri dizaini ya Aliko Dangote.
Lakini utakuta mleta mada anatumia tekno au itel amejipinda kuandika kurasa kadhaa kutafuta binti wa kumla Mbususu.
Toka hadharani useme net Worth yako ni ngapi?
Sio vigezo kibao wakati unaishi room moja au mbili za kupanga huyo binti mwenye sifa hizo hutoweza kumtunza.
Kumtunza tena wakati amesema hataki mtu wa kuhudumiwa[emoji16]
 
Kawafuate Instagram, huku sio sehemu yake, JF Dadas wana akili huwapati kwa style hii.
 
Pumbavuuuuuu.... Kwaiyo huyooo mwanamke atakulaaa huoo mziki wakoo.....
ALafu embu amka huko usingizini......
 
UKIMPATA BASI HUYO ATAKUWA JINI!

wakati nasoma mwanzo nkaanza kusema ni mimi lakini kila nikizidi kushuka sifa zikajishusha moja moja mpaka zote nimekosa!
Achana naye huyo hajui anataka nn, njoo kwangu nina "focus" nzuri ya maisha
 
Mtoa mada nenda Instagram utakuta wamejianika wamevaa nguo "translucent" (mitandio)[emoji2]
 
Back
Top Bottom