*_Lakini Nuhu aliamua tu kutusababishia Malaria ule mda Mbu zilikuwa mbili ndani ya safina si angeziua_*
Aiseee! Ni kweli kabisa sijui kwanini alifanya uzembe hv[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*_Lakini Nuhu aliamua tu kutusababishia Malaria ule mda Mbu zilikuwa mbili ndani ya safina si angeziua_*
Wanyama wangekuwa na WHAT'S UP.
Status zingekuwa:
MENDE: "nimekoswa na guu la mama mwenye Nyumba, maisha yangu mashakani, why always me???? "
PANYA: "nimekula nguo lenye pafyumu, nasikiaje kiu. uwiiiii"
NGURUWE: Binadamu wabaya jamani, wameshanizushia nasambaza mafua "
MBU: Nina HIV, nimekomaje kunyonyanyonya hovyo.
MBUZI: teh teh teh. thank Good pasaka imepita. ni kula BATA tuu mpaka EID.
KUKU: "friends mkiona kesho kimya mjue nipo mezani maana kuna wageni wamekuja leo hapa home, tuombeane uzima wapendwa, love you all"
MBWA:Wadau mie nshakuwa wa kulala nje tu na kuwalinda washikaji kisha wananipa makombo
PAKA:Kweli unga umepanda kabana hadi panya hawaonekani vichochoroni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo bendera yake haipeperuki!<br />Sasa huyu akipita pale Central si watampigia saluti [emoji15] [emoji15] [emoji15] khaaa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
twala kwa chumvi ukisubiria yaiveKuoa ni kama kuchagua parachichi gengeni, unabinya 9 unanunua la 10..
Sasa wewe jifanye mtakatifu usibinye, utakuja kununua bichi.
Hapo ndio utajua ni kwanini makinikia a.k.a yake ni maboso..!!
mbwembwe hazijawah kumwacha binadam yeyote bila fundisho [emoji12] [emoji12]Teknolojia ya motokali ilikuwa haijaingia kijijini hapo palikuwa na bingwa wa pikipiki pale sasa siku moja jioni kabeba mkewe akaona mbele pana taa mbili zinakuja akamwambia mkewe ngoja niwaonyeshe kuwa mimi ndio bingwa wao napita katikati yao loh kumbe lilikuwa ni scania ndio mara ya kwanza limekuja kuchukua mazao.
angeshikilia makali [emoji18][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yeuwiii