Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Leo birthday ya TOM and JERRY ili kuwaenz tafadhali tuma sms hii kwa katuni yeyote unayemfahamu ikiwa mim tayar nimexhamtumia katuni anaesom sms hii! uckubali kubak katuni peke ako jtahd uwabambe na wengne.
ili makatun muwe weng[emoji3]
 
Majivuno mda mwingn hayafai,jamaa mmoja alipanda daladala kidogo sim ikaita akaitoa mfukon alipoangalia akaona mke wake ndo anapiga,jamaa kwa kutaka kujionyesha akapokea cm na kuweka loud speaker akiwa na abiria wenzake, jamaa akauliza mke wangu muda huu umenimiss au tatizo nini nambie bac baby,mke akajibu sijakumiss nataka kujua kwa nini umevaa chupi ya mtoto? abiria walicheka mpaka kulaliana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
Pana mlevi mmoja alikuwa kanisani mara akaingia bint mrembo sana basi yule mrembo akaja kukaa jirani na mlevi jamaa akaona kama zali ikabidi atupe ndoano kilevilevi na kukitaja kiungo anacho omba kwa yule bint basi bint akahamaki na kumwambia mlevi "huoni aibu kutaja jambo hilo humu kanisani "mlevi nae kilevilevi akajibu "mbona wewe hukuona aibu kuja nayo humu?
Nb:majibu ya walevi sijui huwa wanayotoa wapi!
 
Tahadhari
Kwa wale mnaotaka kutupa mialiko ya Eid tafadhalini msije mkatuwekea pilau Makenikia. Makenikia ni aina ya pilau ambayo nyama huonekana kwa mbali au zisiwemo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hapo kwenye kulaliana ndio utamu wa mirinda nyeusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…