Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,635
- 4,411
Kila mtu analo ila ya kwenu maduu ni tofauti na yetu akina METeh. Watu wana maneno.
Ila tako si kila mtu analo jamani?
Mwanaume suruali
duh pole sana una msongooooo hehehekwa kifupi unataka tujue kuwa na wewe unaweza badili rangi za maandishi,huna lolote
Wanajamvi kuna mpya??
Kilioni nimeenda lakini too bad hawakuwa na mpya yoyoteKaulize kilioni[emoji1321]
KWA KWELI SMARTFON
ZIMEINGILIWA
Ananunua LUKU kwenye YOUTUBE[emoji15]
Mamaaaweeeeee[emoji1321]
Utawajua tu[emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Majivuno mda mwingn hayafai,jamaa mmoja alipanda daladala kidogo sim ikaita akaitoa mfukon alipoangalia akaona mke wake ndo anapiga,jamaa kwa kutaka kujionyesha akapokea cm na kuweka loud speaker akiwa na abiria wenzake, jamaa akauliza mke wangu muda huu umenimiss au tatizo nini nambie bac baby,mke akajibu sijakumiss nataka kujua kwa nini umevaa chupi ya mtoto? abiria walicheka mpaka kulaliana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]