Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka kama mwehu
 
Huku gomz kuna vyura wanasumbua kwa makelele isiku kucha utafikiri wapo kwenye kigodoro[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] hii kweli stress free zone
 
Huku gomz kuna vyura wanasumbua kwa makelele isiku kucha utafikiri wapo kwenye kigodoro[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hao dawa yao Paka
 
Nimekuta taarifa inaishia hivi "kuhusu mvua. .na bado. ."sidhani kama itakuwa imetoka TMA hii
 

piga hesabu ya jumla beigani .njoo pm kama vp huku wanga wengi kuliko protein
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
LEO CHUKUA NA HII..
Najua unajua ila nakujuza zaidi....
Maraisi wa Tatu wa East Africa,
[emoji117]PAUL KAGAME
[emoji117]UHURU KENYATTA
[emoji117]JOHN P. MAGUFULI
Hawa wote wamezaliwa mwezi mmoja...MWEZI HUU WA KUMI...
[emoji117]BIRTHDAY zao pia zinapishana siku tatu tatu...
23OCT-KAGAME
26OCT-UHURU
29OCT-MAGUFULI

[emoji117]UMRI WAO WANATOFAUTIANA MIAKA MIWILI MIWILI KWA KUZALIWA...
1957(Kagame)
1959(Magufuli)
1961(Uhuru)
[emoji117]TUMALIZE NA HII..
-Uhuru alichaguliwa 2013
-JPM alichaguliwa 2015
-Kagame amechaguliwa tena mwaka huu 2017
[emoji117]TOFAUTI IKIWA NI MIAKA MIWILI MIWILI....
[emoji3][emoji3][emoji3]
BILA YA KUSAHAU
Na wake zao wote wanaitwa
JANET[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…