Na ukitaka kucheka siku ya Valentine, subiri uone wasichana wanene waliovaa nguo nyekundu, huwa kama vibanda vya M pesa...[emoji23][emoji23][emoji23]WASICHANA WEMBAMBA WAKIVAA MAGAUNI MEKUNDU SIKU YA VALLENTINE WANAKUWA KAMA PILIPILI KICHAA[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na ukitaka kucheka siku ya Valentine, subiri uone wasichana wanene waliovaa nguo nyekundu, huwa kama vibanda vya M pesa...[emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahahhahhahahahahhaMwenye jipu matakoni hakimbilii siti/kiti.
Kweli???Nasikia wakaka warefu wakivaa jeans za kubana na buti za timberland then wakitembea wanakuwa kama Twiga anavuka barabara [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Ukweli mchungu aisee[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Mwenye jipu matakoni hakimbilii siti/kiti.
[emoji23] [emoji23]Nimeamka asubuhi na Buku tu, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu . Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti alipofika kwenye maandazi akakuta kapoteza hela yangu, wakati anarudi kuja kuniambia kama kapoteza hela, njiani kwa bahati akaokota Buku ambayo kuna mtu alipoteza ndio akanunua askrimu....
Kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamaake[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
WATU WOTE HUMU JF HASA JUKWAA HILI
WOTE WAPUMBAVU HADI MODS!
IVI MTU AKITOKEA AKISEMA IVYO TUTAMFANYAJE?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna vichaa walikua wanasafirishwa Kwenda Iringa toka Morogoro sasa kufika pale Mikumi kichaa mmoja akawa anamuonesha mwenzake unawaona Simba wale..yule Mwenzake akamuuliza sasa pale Okwi ndie yupi pale?
WATU WOTE HUMU JF HASA JUKWAA HILI
WOTE WAPUMBAVU HADI MODS!
IVI MTU AKITOKEA AKISEMA IVYO TUTAMFANYAJE?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mkuu...Broo kwanza utambue kwamba huu uzi tumeutoa mbali saaaaaanaa bro[emoji3]
La pili ufahamu kuwa mimi nayajuwa maumivu yakifungoni hukoo(bann)nimetoka ivi karibuni tu,
Kisa cha kufungwa ni ukweli ndio ulio niponza sasa haina haja bana tuharibu jina letu
Tumekula baskeli nzima kasoro kengele tu[emoji1321]
[emoji23][emoji23]hapa no shilawadu mkuu...Freyzem hili jukwaa letu bana sio la wambea wala la kusutana wala sio la ushindani[emoji3]
Tufate maadili yetu tu yakama unastress pitia hapa,
Kwa mfano ukiulizwa wewe KE au ME ukajibu BE kuna tatizo au[emoji1321]
Kweli mkuu...
[emoji23][emoji23][emoji23] si unajua tena lager za usiku!!
Ban inauma kinoma[emoji23]