Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Leo kuna rafiki yangu kaja kunitembelea gheto nilipopanga ananiuliza mapa sasa ni hatua gani umepiga nikamjibu kwani wewe mpaka kufika hapa umepiga hatua nagp
Cpendagi maswali ya ajaubu kabisa
 
Leo kuna rafiki yangu kaja kunitembelea gheto nilipopanga ananiuliza mapa sasa ni hatua gani umepiga nikamjibu kwani wewe mpaka kufika hapa umepiga hatua nagp
Cpendagi maswali ya ajaubu kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
 
Leo kuna mtu nimemtolea uvivu ! amenikuta
nimetulia zangu nikisikiliza kale kawimbo Ka ccm mbele kwa mbele.....,,,akaniuliza mbona Umekunja sura
...nikamwambia nataka kuiweka kwenye begi.

Sipendangi ujinga mimi wala maswali ya ajabu ajabu... embu ngoja niendelee zangu
 
Dogo katoka na BASHITE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…