hayaHio greet maana yake ni Yai la kuchemsha[emoji1369]
daah umenikoshaa sanaaa, "wanapouza ma shat!!!"Mambo ya daladalan bhana
Boy: Dada mambo
Girl: mwanaume suruali nikupeleke WAP?
Boy: wanapouza mashati!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nmecheka had nmepitiliza kituo naona mahali pame andikwa miltar lugalo afu niko ndan ya fensi naskiza atae kuja nielkeza[emoji12]
HahahahahaHakuna watumishe wa serikali wenye dharau kama manesi wa dispensary za vijiji
We unamvulia suruali akuchome sindano ye anakuuliza WEWE HUWA UNAPAKA MAFUTA HAYA MAKALIO.
😂😂😂 AiseeHakuna watumishe wa serikali wenye dharau kama manesi wa dispensary za vijiji
We unamvulia suruali akuchome sindano ye anakuuliza WEWE HUWA UNAPAKA MAFUTA HAYA MAKALIO.
Dadadeki ukisikia kumkoma nyani gilani......
Heeeeeeh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] qmamakyeeeehStress ni nini
Stress ni pale upo kuelekea kazini kwa bahati mrembo anakuomba lift
na bahati mbaya hali yake inabadilika unamkimbiza hospital, baada ya muda doctor anatoka anakwambia hongera, unajiuliza hongera ya nini ana kwambia mkeo ana mimba una tahamaki na kumwambia doctor huyu sio mke wangu lakini kale kadada kwa sauti ya nyororo kanamwambia doctor ni mimba yake, unapanic doctor anakwambia hebu njoo nikupime baada ya mida doctor anatoka anakwambia ni kweli mimba sio yako unashusha pumzi lakini anakwambia nilivyokupima nimegundua huna uwezo wa kudharisha unapatwa na mshitiko na kupata na big stress na kufikiria kama sina uwezo wa kudharisha wale watoto watatu nilio nao ni wa nani.!!?
Mtoto alimuuliza babake:
MTOTO: Baba, eti sisi wanadamu tulikuja vipi duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa. Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika akamfuta mamake)
MTOTO: Mama, eti sisi wanadamu tulikuja vipi duniani?
MAMA: Wanahistoria wamesema sisi tulitokana na nyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi kwa baba)
MTOTO: Baba mbona mama anasema sisi tulikuwa nyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo wao...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji16][emoji23][emoji16][emoji23]Hakuna watumishe wa serikali wenye dharau kama manesi wa dispensary za vijiji
We unamvulia suruali akuchome sindano ye anakuuliza WEWE HUWA UNAPAKA MAFUTA HAYA MAKALIO
Aiseee jobu tru truJana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.20,000/=.
Wakati nipo natafakari hiyo bei, nikasikia "Moro, Moro,Morogoro sh.10,000/="
Nikaamua nipande niende zangu MOROGORO.
Kwenda na kurudi sh.20,000/=.
Wakati wa kurudi nikamwmbia KONDA aniteremshe KIMARA
hapo nikawa nimewazidi ujanja[emoji16][emoji16]