Hii KaliKuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kali[emoji23] [emoji23]Boy: can i touch your software? Girl: first show me your hardware Boy: can i install it in your system Girl: cover it with antivirus and then install"
Huhuhu"Then those Men who hate women with sagging breasts ,are your testicles standing?"
[emoji15] [emoji15]*Ukiona Mkeo anakushukuru sanaaaaa kupitiliza unapolipa ada za watoto wako......kapime DNA*![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Luna kaukweli hapa[emoji15] [emoji15]
Hii kali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]I Think The Woman who invented The Phrase “ALL MEN ARE THE SAME ” was a Chinese woman who lost her husband in a crowd...