Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji4] [emoji4] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Hahahahaaaaaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1]
 
Meli ilizidiwa na mizigo, ikabidi watu mbali mbali watupe vitu vyao:
Mzungu akatupa computer akasema kwetu zipo tele!
Mchina akatupa mabox ya simu akasema kwetu zipo tele!!
Masai akatupa shanga akasema kwetu zipo tele!
Mzenji akaangalia cha kutupa kakosa, akamuona Masai mmoja akamchukua na kumtupa, watu wakamuuluza "Mbona umemtupa Masai" akajibu wapo wengi darajani.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kweli pombe sio chai
kuna jamaa mmoja alienda bar akanywa pombe za kutosha akalewa ile mbaya. Akarudi nyumbani kwake mida ya saa tatu usiku, akawa anagonga mlango nyumbani kwake. Akagonga sana kwa muda wa dakika kama kumi na tano hivi. Nikabidi nimjibu tu kuwa wenyewe hawapo; wakati najua kabisa kuwa yule mlevi anakaa mle ndani peke yake Sipendagi ujinga mimi. Basi yule mlevi akasepa zake baada ya kumwambia wenyewe hawapo. Akili zangu na za huyu mlevi tunajua wenyewe [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Stori ya leo ni ya kugusa sana

Mwalimu alimwambia Joni aguse ubao, Joni akagusa, akamwambia tena Joni akagusa
Mwalimu akamwambia Joni endelea
Joni akagusa, akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa akagusa.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji115] [emoji115] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwani si nilisema ya kugusa sana[emoji106] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji1]
 
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
*ENZI ZA SEKONDARI*
*John ana miaka 10 pungufu ya Baba yake mama yake ana miaka 40, miaka 20 zaidi ya john.Tafuta umri wa..*
*1.john*
*2.Baba*
*3.Mama*
*......Hilo swali nilikuwa naliruka...Sio kwamba* *nilikuwa siliwezi ni basi tu sipendi kuingilia mambo ya familia za* *watu*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *mwalimu wangu nsameh* *umbeya spendi
 
Jamaa yuko na demu wake na maongezi yalikuwa:
Jamaa: Babe!
Demu: Yes honey what is it?
Jamaa: whisper to me something sweet!
Demu: Glucose!
....Watu hawatakaji ujinga...
sijaelewa hii embu nifafanulie.
 
A mother used to cook her kids chicken everyday, but the kids got fed up.
Gal: Nitaambia mum aache kupika kuku.
Boy: kwa nini?
Gal: Nimeanza kumea manyoya huko chini.
Boy: Nilidhani ni mimi tuu!
Gal: ata wewe? Ona zangu venye ni mob. Ebu nione zako.
Boy: taking short down. Ona kazi ya mum na kuku zake daily.
Gal: Ghai! Yako imezidi, si manyoya pekee,unamea shingo ya kuku pia.
Boy: hata si shingo pekee, shika usikie mayai mbili hapa chini ya shingo.......

[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…