The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Haijalishi umesoma ama hujasoma ila kama unaamini hivi vitu ujue una mapungufu makubwa ya akili.
1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote.
Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli?
Kama kuna mchawi humu ama unamjua mchawi yoyote basi mwambie naomba aniloge.
2.
Mada inaendelea.
1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote.
Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli?
Kama kuna mchawi humu ama unamjua mchawi yoyote basi mwambie naomba aniloge.
2.
Mada inaendelea.