Kama unaamini hivi vitu basi ujue una upungufu wa akili

Kama unaamini hivi vitu basi ujue una upungufu wa akili

Haijalishi umesoma ama hujasoma ila kama unaamini hivi vitu ujue una mapungufu makubwa ya akili.

1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote.

Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli?

Kama kuna mchawi humu ama unamjua mchawi yoyote basi mwambie naomba aniloge.

2.

Mada inaendelea.
Wewe bado Mtoto
 
Back
Top Bottom