The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Uchawi upo na ata vitabu vitakatifu vina usimulia. Majini ni Wale Malaika waliofukunzwa na Mungu baada ya kuhasi.Hawa ndo wanaosumbuwa Watu wakishirikiana na Binadamu wasiopenda wenzao(Wachawi na Wanga) Unachotakiwa ni kuwa na imani na Mungu wako na sio kuhamini matunguliHaijalishi umesoma ama hujasoma ila kama unaamini hivi vitu ujue una mapungufu makubwa ya akili.
1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote.
Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli?
Kama kuna mchawi humu ama unamjua mchawi yoyote basi mwambie naomba aniloge.
2.
Mada inaendelea.
Uchawi upo ila usiuamini sana...Haijalishi umesoma ama hujasoma ila kama unaamini hivi vitu ujue una mapungufu makubwa ya akili.
1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote.
Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli?
Kama kuna mchawi humu ama unamjua mchawi yoyote basi mwambie naomba aniloge.
2.
Mada inaendelea.
Kuuamini uchawi kwa maana ya kuutegemea hapo sina comment ila kuamini kwamba uchawi una exist, ni suala la muda tu kuja kuamini.Haijalishi umesoma ama hujasoma ila kama unaamini hivi vitu ujue una mapungufu makubwa ya akili.
1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote.
Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli?
Kama kuna mchawi humu ama unamjua mchawi yoyote basi mwambie naomba aniloge.
2.
Mada inaendelea.
Ha ha ha haInawezekana hata umeandika hapa Kwa kuwa umerogwa mtu mwenye akili timamu hawezi andika huu ugoro
Sasa kumbe wewe ndo hauna akili. Au niseme akili yako haina akili au niseme unaaakili lakini matumizi yako ya akili hayana akili.Haijalishi umesoma ama hujasoma ila kama unaamini hivi vitu ujue una mapungufu makubwa ya akili.
1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote.
Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli?
Kama kuna mchawi humu ama unamjua mchawi yoyote basi mwambie naomba aniloge.
2.
Mada inaendelea.
Kichaa wewe..tena umerogwa pakubwaHaijalishi umesoma ama hujasoma ila kama unaamini hivi vitu ujue una mapungufu makubwa ya akili.
1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote.
Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli?
Kama kuna mchawi humu ama unamjua mchawi yoyote basi mwambie naomba aniloge.
2.
Mada inaendelea.
Kikubwa usiingie kwenye 18 zao. We pambanaa na mambo yako. Kama umeamua kuwa wa Yesu kristo basi kuwa na Yesu. Haya mambo ya witching umwachie Mshana JrAlafu wachawi wanapenda kusumbua watu wanaoamini mambo yao, ukiamini uchawi sana basi hata mambo yako yakienda kombo akili yako lazima iwaze vitu vikuu VIWILI, Umerogwa/kuna mtu anakuchezea, wazo la pili utataka kwenda kwa mtaalamu wa mambo ya giza ukajue nani anakuchezea....
Hapo moja kwa moja unakua ushaingia kwenye UCHAWI hutakuja kuacha kutembelea waganga mpaka nguvu ya ziada itumike kukuondoa hizo IMANI...
Ila UCHAWI Upo na kwenye vitabu umeelezewa hata FARAO aliuutumia sana mbele za Mungu/mbele ya nabii wa Mungu Mussa...
2.Haijalishi umesoma ama hujasoma ila kama unaamini hivi vitu ujue una mapungufu makubwa ya akili.
1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote.
Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli?
Kama kuna mchawi humu ama unamjua mchawi yoyote basi mwambie naomba aniloge.
2.
Mada inaendelea.
wewe unatakiwa urogwe kwanza ili akili yako ikae sawa maana ina mawenge sanaHaijalishi umesoma ama hujasoma ila kama unaamini hivi vitu ujue una mapungufu makubwa ya akili.
1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote.
Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli?
Kama kuna mchawi humu ama unamjua mchawi yoyote basi mwambie naomba aniloge.
2.
Mada inaendelea.
Jamii forum ni pana Sana hadi darasa la saba wamo!Haijalishi umesoma ama hujasoma ila kama unaamini hivi vitu ujue una mapungufu makubwa ya akili.
1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote.
Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli?
Kama kuna mchawi humu ama unamjua mchawi yoyote basi mwambie naomba aniloge.
2.
Mada inaendelea.
Ulifikiri ni yenu peke yenu nyie wa darasa la 2 tu, hii jukwaa wako hadi wenye digrii 4.Jamii forum ni pana Sana hadi darasa la saba wamo!