Kama unadhani watu wapo Single kimakosa, Ndoa itayafungua hayo Macho yako makubwa

Kama unadhani watu wapo Single kimakosa, Ndoa itayafungua hayo Macho yako makubwa

Mabinti wengi wa kikristo wapo kama wamechanganyikiwa wakiolewa na hawajui wanachokifanya kwenye ndoa, tena awe mlokole nikupe pole.

mimi nitaoa binti wa kiislam ila nitajitahidi ni mgeuze iman yake na ikishindikana nitajua cha kufanya.

Hawa mabinti wamefunzwa vyema sana na wanajua wanachofanya ni mabinti wanajua sana maana ya ndoa na sijui hawa wa kwetu wana kwama wapi
Muislamu hakubali kuolewa na mkiristo anasema kafiri je harusi mtafungia wapi
 
Wanaume hawaoi kwa ajili ya kutafuta furaha, hilo siyo lengo la ndoa kwa wanaume. Lengo kuu ni kuendeleza kizazi.

Wanawake wanaolewa kutafuta furaha. Ndoa kwa mwanamke ni furaha kubwa sana sana.

Shida wanaume tumesahau tunaoa kwa ajili gani..... Mwanaume anaoa ili kuendeleza kizazi chake, au uzao wake, haoi kwa ajili ya kuifurahisha jamii au mtu yeyote.

Vitabu vitakatifu vyenyewe vinaonesha manabii na watakatifu walikuwa wanapambana sana kuhakikisha wanapata watoto wa kuendeleza kizazi au urithi wao.

Cha msingi kama mwanaume, hakikisha wanao wa kuendeleza kizazi wanazaliwa ndani ya ndoa, hata ukipata wa nje sio kosa maana hata Ibrahimu mwenyewe alikuwa na Isaka (Mtoto wa Sara, mke halali) na Ishmael (Mtoto wa Hagari, kijakazi wake). Pia Ibrahimu alikuwa na watoto wengine 6 ambao alizaa na masuria.

Hivyo wanaume oeni mkiwa na lengo 1 tuu, kuendeleza kizazi. Msioe kwa kutafuta furaha. Furaha ya mwanaume haijawahi kuwa ndoa.

Wanaume acheni kujifunga katika mawazo ya kwamba ukioa ndiyo hauruhusiwi kuwa na masuria. Kama una uwezo haikatazwi kuwa na masuria. Ila siyo lazima. Kama unaona mkeo anakutosha basi tulizana na mkeo.

NDOA NI FURAHA KWA MWANAMKE, KWA MWANAUME NI KIENDELEZA KIZAZI.
You sound man
 
Thread closed!
Umri sahihi wa kuoa ni miaka 35.
Umri sahihi wa kuolewa ni miaka 30.
Idadi ya watoto kwa ndoa yenye furaha ni watoto 2.
NB: The sooner u get in, the sooner u get out.
The more u bring in, the more the Lord take out...
Mkuu umemaliza kila kitu...
 
Mabinti wengi wa kikristo wapo kama wamechanganyikiwa wakiolewa na hawajui wanachokifanya kwenye ndoa, tena awe mlokole nikupe pole.

mimi nitaoa binti wa kiislam ila nitajitahidi ni mgeuze iman yake na ikishindikana nitajua cha kufanya.

Hawa mabinti wamefunzwa vyema sana na wanajua wanachofanya ni mabinti wanajua sana maana ya ndoa na sijui hawa wa kwetu wana kwama wapi
Hujajibu swali nililokuuliza
 
Mabinti wengi wa kikristo wapo kama wamechanganyikiwa wakiolewa na hawajui wanachokifanya kwenye ndoa, tena awe mlokole nikupe pole.

mimi nitaoa binti wa kiislam ila nitajitahidi ni mgeuze iman yake na ikishindikana nitajua cha kufanya.

Hawa mabinti wamefunzwa vyema sana na wanajua wanachofanya ni mabinti wanajua sana maana ya ndoa na sijui hawa wa kwetu wana kwama wapi
Usimbadilishe Dini yake mkuu,maana atakuwa kama hao wasiofunzwa
 
Bado tu mnawaza masuala ya kuoa na kuolewa 🤡 kweli sisi watu weusi bado tupo nyuma kwa vitu vingi.

Usitafute mtu wa kuja kukupa furaha, furaha yako inapaswa kutoka kwako mwenyewe sio kwa mtu mwengine.
 
Ukitaka uishi kwa amani kwenye ndoa oa binti wa kiislam ,

Sio oa binti wa kiislam.. bali oa kwa ndoa ya kiislam.

Hata binti wa dini zingine ukimuoa kwa ndoa ya kiislam hawez kukusumbua sumbua..

Maana inaruhusu kumpiga talaka akapumzike kwao. Kisha unaoa mke mwingine
 
Faida ya ndoa kwa Mwanaume ni kupata watoto na akiumwa mtu wa kumutake care.

Ndoa za kisasa mwanaume hata watoto huwapati.

Wanawake wa kisasa hawashiki mimba kwa urahisi. Sababu wanakunywa sana p2 wakiwa vyuoni.

Akijitahidi sana anakuzalia mtoto mmoja tu kwenye ndoa
 
Kila mtu kwa itikadi yake naamini Mungu wako anakutetea.
Disclaimer:Ndoa ni muhimu tu kwenye malezi ya watoto,kwamba watoto watakua wakishuhudia malezi namapenzi ya wazazi wote wawili.
Hii mada inavipengele vitatu vyenye a, be na che kama ifuatavyo[emoji116]
a) Kwenye ndoa wanawake wengi ni wabinafsi
b)Wanandoa wengi furaha zao wanazipata nje ya ndoa.
c)Ndoa ni Security kwa Mwanamke, na Insecurity kwa Mwanaume

Mfilisiti nipo hapa kukujuza katika kila kipengele fuatana nami

a) Kwenye ndoa wanawake wengi ni wabinafsi
Bible inasema wanawake tuishi nao kwa akili haikukosea,
Nikawaida kukuta Mwanamke ameolewa na Amejenga Nyumba yake na wakati huo mwanaume hajui kabisa, kidume kila siku unajitutumua na kukaza tako kulipa kodi ya nyumba,huku mwenzako ni (Landlord)na anakuzoom tu, sasa maana ya Msaidizi hapo iko wapi????
Nikawaida mwanamke kwenye ndoa kumfanya mwanaume achukie ndugu zake na hata wasiweze kukanyaga kabisa kwake, unasema mfilisiti namaanisha nini? Chunguza familia nyingi unakuta ndugu wa mwanamke wamerundikana sana ila ndugu wa mume unaweza usimwone hata mmoja. na hapo sijazungumzia Limbwata.

b)Wanandoa wengi furaha zao wanazipata nje ya ndoa.
Unadhani ukioa ndo utakuwa na uhakika wa kuichapa kila siku? Thubutu!!! hata mwezi unaweza ukapita bila bila.
Nimezisikia sana hizi kauli kwa watu wangu wa karibu wanaonizunguka
"Sijui kwanini nilikuoa"
"Sijui kwanini niliwahi kuoa"
"Kinacho nifanya niendelee kuwa nae ni watoto tu" watu wanajuta kuwa kwenye ndoa.na hii ndo inanifanya kukumbuka huu msemo wa kosea vyote ila usikosee kuoa.
Wanandoa wengi hususani wanaume huchelewa kurudi majumbani maana huko ndani hapakaliki. Je kwanini vijana wasikatae kuoa???

c)Ndoa ni Security kwa Mwanamke, na Insecurity kwa Mwanaume.

Unasema Mfilisiti unamaanisha nini hapa?
Yes ndoa ni Security kwa Mwanamke, jamii ipo upande wake hata akitaka talaka kwa uroho wa mali, anaweza kuzusha tu "Mume wangu anataka kinyume na maumbile" Jamii itamuamini na kumuona mwanaume ni mtu wa hovyo.
Mwanamke ni shariti atunzwe(security)
Mwanamke ni mpokeaji(receiver)
Kila kitu kwenye ndoa kinamlinda mwanamke.

Nini kifanyike??
Cheti cha ndoa kitolewe baada ya wanandoa kukaa pamoja kwa muda usiopungua miaka 15.

Hata Astashahada,Sitashahada na Shahada watu wanzisotea huko kwa miaka ndo wanapewa vyeti, hata kwa ndoa cheti kitolewe vivyo hivyo.
Mwisho kabisaa:Vijana wa kataa ndoa wana hoja wasikilizwe sio kukimbilia kuwa attack sijui ushoga, wakati wanazichakata sana huko mitaani na hao wake walioolewa.
Ukiamua kuoa oa, ila usiwakashifu vijana wa kataa ndoa wanayo hoja.
Mlio oa toeni faida za kuoa vijana wapo wanapitia hapa
Naam,
Mfilisiti .
Mwenzetu uwe muwazi, masaibu yepi yamekukumba kwenye ndoa yako?

Kwa maoni yangu, pamoja na changamoto zinazotajwa na walimwengu kila uchwao, bado maisha ya wawili huwezi kulinganisha na kukomaa kivyako. Hata kama una mali, marafiki na umaarufu kiasi gani, partnership inaongeza thamani ya maisha binafsi na ya kijamii.
 
Thread closed!
Umri sahihi wa kuoa ni miaka 35.
Umri sahihi wa kuolewa ni miaka 30.
Idadi ya watoto kwa ndoa yenye furaha ni watoto 2.
NB: The sooner u get in, the sooner u get out.
The more u bring in, the more the Lord take out...
Noma sana
 
Kipengele a , na b kimesomeka kwa uzuri sana mkuu
 
Back
Top Bottom