Kama unadhani watu wapo Single kimakosa, Ndoa itayafungua hayo Macho yako makubwa

Muislamu hakubali kuolewa na mkiristo anasema kafiri je harusi mtafungia wapi
 
You sound man
 
Thread closed!
Umri sahihi wa kuoa ni miaka 35.
Umri sahihi wa kuolewa ni miaka 30.
Idadi ya watoto kwa ndoa yenye furaha ni watoto 2.
NB: The sooner u get in, the sooner u get out.
The more u bring in, the more the Lord take out...
Mkuu umemaliza kila kitu...
 
Hujajibu swali nililokuuliza
 
Usimbadilishe Dini yake mkuu,maana atakuwa kama hao wasiofunzwa
 
Bado tu mnawaza masuala ya kuoa na kuolewa 🤡 kweli sisi watu weusi bado tupo nyuma kwa vitu vingi.

Usitafute mtu wa kuja kukupa furaha, furaha yako inapaswa kutoka kwako mwenyewe sio kwa mtu mwengine.
 
Ukitaka uishi kwa amani kwenye ndoa oa binti wa kiislam ,

Sio oa binti wa kiislam.. bali oa kwa ndoa ya kiislam.

Hata binti wa dini zingine ukimuoa kwa ndoa ya kiislam hawez kukusumbua sumbua..

Maana inaruhusu kumpiga talaka akapumzike kwao. Kisha unaoa mke mwingine
 
Faida ya ndoa kwa Mwanaume ni kupata watoto na akiumwa mtu wa kumutake care.

Ndoa za kisasa mwanaume hata watoto huwapati.

Wanawake wa kisasa hawashiki mimba kwa urahisi. Sababu wanakunywa sana p2 wakiwa vyuoni.

Akijitahidi sana anakuzalia mtoto mmoja tu kwenye ndoa
 
Mwenzetu uwe muwazi, masaibu yepi yamekukumba kwenye ndoa yako?

Kwa maoni yangu, pamoja na changamoto zinazotajwa na walimwengu kila uchwao, bado maisha ya wawili huwezi kulinganisha na kukomaa kivyako. Hata kama una mali, marafiki na umaarufu kiasi gani, partnership inaongeza thamani ya maisha binafsi na ya kijamii.
 
Thread closed!
Umri sahihi wa kuoa ni miaka 35.
Umri sahihi wa kuolewa ni miaka 30.
Idadi ya watoto kwa ndoa yenye furaha ni watoto 2.
NB: The sooner u get in, the sooner u get out.
The more u bring in, the more the Lord take out...
Noma sana
 
Kipengele a , na b kimesomeka kwa uzuri sana mkuu
 
Huu mwezi mmetuandama wanawake?? Khaaaaaaa [emoji119][emoji119]
Nini mbaya wanaume zetu?? Ni hili hili suala la bandari na Tanesco au kuna lingine?
Mtakoma huu mwaka mpaka uishe[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…