Kama unaenda Taifa Kwa Mkapa leo sema utakaa wapi / jukwaa gani ili uoshe Nyota kwa kukaa Jirani na GENTAMYCINE

Kama na kwenye maisha halisi unapenda sifa hivi! Basi kazi kwelikweli....
Usipomzoea GENTAMYCINE na ukiwa ni Mpumbavu, Mswahili na Mtu mwenye Wivu na Usununu ( Makasiriko ) hakika utapata taabu nae sana hapa JamiiForums ila walionizoea wala hawateseki nami Malaika Mpendwa wa Mwenyezi Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…