RAFA_01
Senior Member
- Aug 10, 2022
- 103
- 169
Kama kuna Mtu ambae aliwahi Lala mahala au mfanya kazi ambae ana experience na hiyo kazi naomba atoe muongozo kuhusu Usafiri, gharama za vinywaji pamoja na chakula.
Kama kuna Manager/ Accountant au yeyote ambae alishawahi kuwa kwenye Management ntafurahi sana akiweza kutoa some highlights.
Itakuwa nzuri zaidi kama akiweza elezea zile operating costs in Deep
Najua hili ndio chimbo la Maarifa
NB: Tunazungumzia zile Hotel za 100 USD per Night.
....Kwanza anzeni hapo, Ntaendelea kidg
Kama kuna Manager/ Accountant au yeyote ambae alishawahi kuwa kwenye Management ntafurahi sana akiweza kutoa some highlights.
Itakuwa nzuri zaidi kama akiweza elezea zile operating costs in Deep
Najua hili ndio chimbo la Maarifa
NB: Tunazungumzia zile Hotel za 100 USD per Night.
....Kwanza anzeni hapo, Ntaendelea kidg