Kama unafanya biashara au deals Dar zenye thamani ya kuanzia milioni 5 kwa move moja basi usipokee cash, tumia bank au cheque

Kama unafanya biashara au deals Dar zenye thamani ya kuanzia milioni 5 kwa move moja basi usipokee cash, tumia bank au cheque

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Kuna pesa za kiganga zinazagaa sana humu mjini.

Mtu unalipwa unashangaa hio hela hata umeitumiaje.

Hela inakuja na majini, ukiipata tu unapata wenge mara utatumia huku mara kule ghafla imeisha kumbe umewarudishia wenyewe bila kujua.

Ndugu usipokee cash kwa zaidi ya 5m, mwambie akuwekee bank akupe risiti.

Kuna mzee last month kauza kaplot kake sinza pale akapewa 100m cash kwenye maboksi sasa hv haelewi hela imeishaje na ni mwezi tu umepita just imagine.

Please pitisha hio hela bank ikachanganyike na zingine majini yapotelee huko
 
Lakini pia ninawasiwasi hela katumia vibaya tu mwenyewe kutokana na wenge

Ajirafakari katunia vipi

Labda kamjengea mchepuko huko

Pia hela bila bajeti sahihi huisha
 
Majini watafuna pesa
Betpawa
Sportybet
Mbet
Kuhonga wanawake,malaya,Malaya,
Pombe, starehe
Forex
Kutoa toa misaada isiyoyalazima
Hata ukiwa na bil 1 inaweza kuisha ndani ya mwezi ni namna tu unavyoitumia
 
Kuna pesa za kiganga zinazagaa sana humu mjini.

Mtu unalipwa unashangaa hio hela hata umeitumiaje.

Hela inakuja na majini, ukiipata tu unapata wenge mara utatumia huku mara kule ghafla imeisha kumbe umewarudishia wenyewe bila kujua.

Ndugu usipokee cash kwa zaidi ya 5m, mwambie akuwekee bank akupe risiti.

Kuna mzee last month kauza kaplot kake sinza pale akapewa 100m cash kwenye maboksi sasa hv haelewi hela imeishaje na ni mwezi tu umepita just imagine.

Please pitisha hio hela bank ikachanganyike na zingine majini yapotelee huko
Me nilitumiwa laki tisa kwa tigo pesa tarehe 02, hadi leo nna laki tu, ela ikiwa kwenye simu kuonga simple kwelikweli,unahisi kama unatuma namba tu sio pesa, nikienda kwenye outing nalipa kwa Lipa number, week end hii nimetuna kaunta mwendo wakulipa kwa LIPA NAMBA tu,
Na nikishapiga vyombo huku wakaweka na nyimbo za Lesi wanyika,Walah kila mwenye shida akituma meseji kwa wakati huo namtumia muhamala, kama nilipigwa mzinga na malaya zangu,basi ndio muda wakuwasendia mihamala,


Kumpa mtu keshi au kumuonga toka mikononi mwangu ni mgumuu,ila kwenye simu,aaah, kiulaaini namtumia!!
 
Back
Top Bottom