Kama unafanya haya unayapkoteza maisha yako.

navuta fegi tangu nna miaka 16 hadi leo hii zaidi ya miaka 11 navuta tu mkuu hakuna cha kansa wala kansas city ni porojo na kutishana tu.
nakula vyakula vya kawaida kabisa
Uko sahihi. Vuta hata paketi moja au mbili kila siku. Maisha mafupi sana haya kamanda na ni afadhali kupata kile roho inapenda. Unaweza kuacha kuvuta sigara halafu ukaondoka na changamoto za kupumua [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huu uzi udumu milelel, uzi pekee ulioongelea viaribu maisha bila kutaja chama chetu chaputa. Ubarikiwe mleta uzi kwa kusema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Poleni ndugu zetu wavuta sigara
 
navuta fegi tangu nna miaka 16 hadi leo hii zaidi ya miaka 11 navuta tu mkuu hakuna cha kansa wala kansas city ni porojo na kutishana tu.
nakula vyakula vya kawaida kabisa
Dah. Siyo lazima Kansa mkuu....hata idadi ya mabao hupungua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah. Siyo lazima Kansa mkuu....hata idadi ya mabao hupungua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
porojo mie navuta sigara na na bao napiga 3 kwenda mbele maana nikiamka kuvuta saa 8 usiku natupia nikiamka kuvuta sa 12 natupia pia yaani burudani
 
porojo mie navuta sigara na na bao napiga 3 kwenda mbele maana nikiamka kuvuta saa 8 usiku natupia nikiamka kuvuta sa 12 natupia pia yaani burudani
Dah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…