MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Naandika haya nikiwa jikoni kabisa.Nimelia sana kwa maneno ya wabunge wanaokula posho za bure kwa kugonga meza na kudharau wanazuoni.
Jamani kuna kundi kubwa sana la wanafunzi wa vyuo ndoto zao zinaisha njiani na kufa kabisa kwa sababu za ada,watu wanakosa malazi,watu wanapitia msoto mkali sana.
Ubaya wa chuo mifumo ndio inafanya kazi hujalipa ada unaambiwa postpone uje mwakani ukipata ada tofauti na secondary unaweza kwenda kumuomba hata mkuu wa shule akuvumilie.
Mikopo ya bodi ya mikopo ndugu zangu ni siasa tu watu wengi hawana mikopo. Ukiwa mtoto wa kiume ndio utakaza kibishi ila kwa watoto wa kike ndiyo mwanzo wa kuanza kudanga,na sio siri watoto wa kike wanabanduliwa kwelikweli.
Hakuna watu ambao wamejikuta na roho ngumu kwa matatizo ya wanafunzi kama head of departments. Tembelea ofisi za wakuu wa idara kipindi cha University Examinations (UE) utajionea mwenyewe.
Jamani muwakumbuke na wanavyuo wanahitaji sana support yenu, mmewasaidia elimu ya chini mnawatelekeza huku mwisho kitu ambacho kinakuwa ni sawa na kazi bure.
Achaneni na hawa wanasiasa na wajinga wengine wanaotafuta umaarufu tu ila field watoto wa wakulima au son of peasant kama bodi ya mikopo wanavyotuita cha moto tunakiona.
Jamani kuna kundi kubwa sana la wanafunzi wa vyuo ndoto zao zinaisha njiani na kufa kabisa kwa sababu za ada,watu wanakosa malazi,watu wanapitia msoto mkali sana.
Ubaya wa chuo mifumo ndio inafanya kazi hujalipa ada unaambiwa postpone uje mwakani ukipata ada tofauti na secondary unaweza kwenda kumuomba hata mkuu wa shule akuvumilie.
Mikopo ya bodi ya mikopo ndugu zangu ni siasa tu watu wengi hawana mikopo. Ukiwa mtoto wa kiume ndio utakaza kibishi ila kwa watoto wa kike ndiyo mwanzo wa kuanza kudanga,na sio siri watoto wa kike wanabanduliwa kwelikweli.
Hakuna watu ambao wamejikuta na roho ngumu kwa matatizo ya wanafunzi kama head of departments. Tembelea ofisi za wakuu wa idara kipindi cha University Examinations (UE) utajionea mwenyewe.
Jamani muwakumbuke na wanavyuo wanahitaji sana support yenu, mmewasaidia elimu ya chini mnawatelekeza huku mwisho kitu ambacho kinakuwa ni sawa na kazi bure.
Achaneni na hawa wanasiasa na wajinga wengine wanaotafuta umaarufu tu ila field watoto wa wakulima au son of peasant kama bodi ya mikopo wanavyotuita cha moto tunakiona.