Kama unahitaji iptv link za tz pitia hapa

Kama unahitaji iptv link za tz pitia hapa

Mboju

Member
Joined
May 4, 2021
Posts
78
Reaction score
178
Habarini wana jamvi teknolojia inazidi kukua na kadri siku zinavyo songa mambo yanazidi kuwa mazuri

Leo nitawaletea iptv link yenye chanel michezo, tamthiliya na nyingine nyingi ila kabla sijaileta nahitaji kujua kama mko tiari nimwage hapa na ili uweze kutazama chanel hizi lazima uwe na app ya DREAM BOX IPTV PLAYER
 
Ukiwa na Google Chromecast with Google TV unaweza kupata hiyo App free?
 
Ukiwa na Google Chromecast with Google TV unaweza kupata hiyo App free?
Yeah iseach kama apk ila hapo utapata app tu ambayo haina chochote link mpaka nikupe mimi
 
naamini hiyo link hutoi bure na hizo channel zote za azam unazosema zipo kwenye hiyo link tunazilipia 28,000 kila mwezi..sasa hiyo link yako tunakulipa shilingi ngapi.? vp azam wenyewe hawawezi kukushtaki kwa kuwakosesha/kuchepusha mapato kwa ww binafsi kufaidika kupitia channel zao.!
 
Huyu jamaa namjua vyema, ashatapeli wengi sana huko whatsapp, hakuna hata channel moja inayo onyesha. Ninayo hiyo link anayodai ya iptv, alimuuzia jamaa elfu 3 ila hakuna inayo onyesha. Utapeli mtupu.
 
naamini hiyo link hutoi bure na hizo channel zote za azam unazosema zipo kwenye hiyo link tunazilipia 28,000 kila mwezi..sasa hiyo link yako tunakulipa shilingi ngapi.? vp azam wenyewe hawawezi kukushtaki kwa kuwakosesha/kuchepusha mapato kwa ww binafsi kufaidika kupitia channel zao.!

We muache aingie kingi.
 
Haya ndugu mleta sredi weka namba hapa na social media zako tukutumie maokoto ya linki!
 
Back
Top Bottom