Kama unahitaji kiwanja

Kaudunde Kautwange

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,644
Reaction score
1,648
Kiwanja kipo kibaha picha ya ndege, km 1.5 kutoka barabara kuu, ukubwa ni 20*20m, bei ni tsh 3M, kwa mawasiliano 0656142433
 
Mkuu hiyo ni offer, maana mm ndo muhusika sio dalali, ukipitia kwa dalali hawezi kukuanzia na bei hiyo! We nicheki tuzungumze!
 
Daaaah sema nipo mbali xaaaana ngonyani nipo sumbawanga by nou nataka kiwanja kibaha mjini hapo
 
So, unaniambiaje mkuu Maginga! Nipo tayari kukusaidia unataka nikupe msaada gani kiongozi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…