Kama unahitaji kufundishwa nyumbani

saman

Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19
Reaction score
0
Kwa wale wenye majukumu na hawana muda wa kwenda vituoni naweza kufuata majumbani na kuwafundisha.Masoma ni History,Geography na Civics ninauzoefu wa kusahihisha necta kwa miaka minne nitakupa njia nzuri za kufaulu nakaa maeneo ya Banana Uwanja wa ndege. Waliotayari yani PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…