inategemeana na ukubwa wa toroli,material itayotumika,matairi utayoweka.Hv toroli moja yaweza kugharimu bei boss, wengine mitaji mpaka tu make mdogo mdogo
Habari za kutwa wanajamvi poleni na majukumu.
Leo naomba msaada kwa wale waliowahi au wanaendelea kutengeneza faida ya Tsh 30,000 na kuendelea kila siku.
Tafadhali zingatia kueleza yafuatayo:
1. Aina ya biashara
2.Mtaji unaotumia kuzalisha faida ya 30,000
Kumbuka waliofanikiwa sio wachoyo, wanapenda na wengine wafanikiwe.
Poa Poa Kaka pia ukiona sehemu chimbo la kuchimba mchanga au vibarua vya ujenzi usisite kuniambia mm ni mpambanaji, hata hii ni mtu nimelog in kwa mda kwa hyo naweza nisiwe hewani kwa mda mpaka niivizie tena.inategemeana na ukubwa wa toroli,material itayotumika,matairi utayoweka.
ukishajua hivyo vitu ndio utajua gharama ya toroli 1.
Sababu nilichokua nakitaka nilikipata..na ndicho ninachokifanya Sasa..ile ilikua tu njia ya kufikia nilipo Sasa.
Ingawa nataka kurudi tena [emoji1787][emoji1787]
Forex ukiwa na milioni 2 unaweza kutengeneza elfu 40 kila siku
Ukifikisha hizo referrals 40 utaambiwa your account is not verified wait 30-60 days for verification. Mkanda umeungua hapo [emoji849]
Unatumia vitendea kazi gani katika printing mkuu ya hizo picha, barua, passports, nk
Nimepata eneo ila jiko na vingine naona inafika mil na mm mtaji ninao laki 5 ,nisaidie hapa ww unawezaje kwa hyo laki 7?biashara ya kuuza chipsi banda liwe simple tuu mtaji hauzidi 700k ila location na mautundu ndo kitu cha msingi
nimefanya hii kitu and still bado nafanya
20k-40k profit per day
We digidigi ni vitu gani unasambaza kila mahali , huku sio WhatsApp au FBWizara ya Viwanda na Biashara ipo kwenye mchakato wa kuanzisha Wakala wa Shopping Malls Tanzania
Baada ya uteuzi wa Waziri mpya, Wizara ya Viwanda na Biashara imeanzisha utaratibu wa kuanzishwa kwa Wakala wa Shopping Malls Tanzania na kwa kuwa nchi iliyopata maendeleo fedha haina thamani haya ndiyo makujuku ya wakala huo: 1: Kujenga na kurasimisha shopping malls zilizopo kwa utaratibu...www.jamiiforums.com
Uko wapi..nina jamaa anauza wino (ana import na ku refill hizo toner kwa bei rafiki mno mno mno ) ukitaka wino peke yake pia anakupa ujaze mwenyewe..incase ukihisi utahitaj nijuze nikupe mawasiliano yakeHapa nina printer 4 hp inkjet 1510 ndogo, desktop 4, hp laserjet p4015 dn, canon ir 1022A na Epson L382. Hilo laserjet linaprint/toa copy 500 in 10 minutes. Yaani ream moja inakata in ten minutes.
Picha naprint na Epson....laminating machine, ID cutter, binding materials kama velo na spiral
Huwa sikai sana ofisini. Wale mabint nimewapa full mandate hata wakinipiga poa tu....nawatreat fairly, nawalisha au kama sipo wanajinunulia chakula asubuhi na mchana. Nauli siwapi sababu hawatokei mbali....ni wa maeneo hayo hayo.
We digidigi ni vitu gani unasambaza kila mahali , huku sio WhatsApp au FB
Uko wapi..nina jamaa anauza wino (ana import na ku refill hizo toner kwa bei rafiki mno mno mno ) ukitaka wino peke yake pia anakupa ujaze mwenyewe..incase ukihisi utahitaj nijuze nikupe mawasiliano yake
Digital tayari kudharau mwenyewe kwanzaWe digidigi ni vitu gani unasambaza kila mahali , huku sio WhatsApp au FB
contact namba yako pm au jinsi ya kukupata nikikuhitajiPoa Poa Kaka pia ukiona sehemu chimbo la kuchimba mchanga au vibarua vya ujenzi usisite kuniambia mm ni mpambanaji, hata hii ni mtu nimelog in kwa mda kwa hyo naweza nisiwe hewani kwa mda mpaka niivizie tena.
Kama ukiweza huyo m-pm tu moja kwa moja mkuu, manake mazingira yenyewe naona hayajakaa sawa kabisa..contact namba yako pm au jinsi ya kukupata nikikuhitaji
pm
Ukieleza zaidi, itapendeza sanaNauza mkorogo [emoji23][emoji23] vifaa vinanigarimu 50000 natoa kopo 10, kila kopo nauza 25000. Kwa siku naweza kuuza kopo mbili mpk nne. Wateja Facebook na Instagram. Na business nyingine ila hii ndio inanipa faida kubwa.