Mkulima mimi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2009
- 233
- 32
anaitwa zawadi ngoda... what more would expect mkuu??? usipoteze muda na wasiostahili muda wako, because time is always cost boundEl Capriso!
Kick the crap out of you!
kweli mkuu, lakini nadhani wachangiaji wengine tunaudhika na pumba tupu bila hata chembe moja ya mcheleWadau hii threads inanini! Imekuwa top kwa mda wa kama sikutatu mchana nikauliza kama nayo ni sticky sijui ikawaje ikapotea ghafla ila imerudi tena! Inachangiwa sana au! Hazipo mpya! Any way mimi siipendi ya weza kuwa sababu!
Wadau hii threads inanini! Imekuwa top kwa mda wa kama sikutatu mchana nikauliza kama nayo ni sticky sijui ikawaje ikapotea ghafla ila imerudi tena! Inachangiwa sana au! Hazipo mpya! Any way mimi siipendi ya weza kuwa sababu!
Pointless bwana!! Kasimame wewe ugombee kwa tiketi ya ccm tuone kama hata udiwani utaupata. Au mwekeni fisimaji mmoja agombee uraisi uone kama atapata. Chama kina sera, lakini mtu ndiye mwenye nguvu, kama wewe unayemwogopa Dr. Slaa kwa kusema kuwa ni dicteta. Points zako ni contradiction tupu. Kajipange tena upya tena haraka sana maana siku zimekaribia.
Ndio siku zimekaribie, lakini moja la muhimu ni hapo uliposema:
"Au mwekeni fisimaji mmoja agombee uraisi uone kama atapata"
Ndugu yangu Chama ni 'trade mark' muhimu sana. CCM ilipomuweka MKAPA kugombea watanzania wote hawakumjua utendaji kazi wake wala hakuwa hata katika 10 bora waliojulikana (CCM) na watanzania. Hata 3 bora kwa wagombea wa upinzani. Watanzania walichofanya walichagua chama kwa vile walijua hata kama atateteleka basi wapo magwiji watamuonya hata pengine kutompa kipindi cha pili. Isitoshe ILANI YA UCHAGUZI ILIKUWEPO TAYARI, NA SI YEYE ALIYETENGENEZA. Hivyo alichotakiwa ni kufuata RELI tu na si vinginevyo.
Sasa wenzetu mnakotaka kutupeleka ni kule ambako Tanzania haipaswi kupita. Kuwa mtu (Rais) aendeshe utawala wa kidikiteta, asisikilize ILANI bali aendeshe kutokana na kichwa chake mwenyewe. Hivi nyie mnaelewa hatari ya haya maneno. Hivi mnajua ni asilimia ngapi ya wabunge wakitia kura za 'NDIO' ili kupitisha elimu bure. Atapata hiyo idadi ya wabunge? Hapa ndipo mtataka atumie mabavu. Na kwa kufanya hivyo ndio mwisho wa amani.
Jamani msicheze na watanzania mkidhani mtawaburuta mtakavyo nao kwa jina la amani watakaa kimya tu. Anayefikiri hivi anajidanganya. Ombeni radhi ili mjisafishe.
Kama mtu aliyesimamishwa hafai, ni dalili tosha na chama hakifai. mgombea ni sura ya chama. Any other question?Fafanua neno hili tafadhali "USICHAGUE CHAMA, CHAGUA MTU" Mbona mnajibu hewa, na ktk uongoizi ndio mtakuwa hivyo hivyo. tumewagundua!
Source please? :ban:Nimesikia alipokuwa akihutubia Kawe amesema akichaguliwa utengenezaji na unywaji wa Gongo utakuwa ni huru.
Dkt Slaa amesahau kuwa mtu aliyelewa hawezi kujenga nchi.Hata mfuko wa saruji ukiuzwa kwa sh.2000 hatoununua badala yake atakwenda kununua gongo inayopatikana kirahisi.
hudhulia mikutano wewe siyo swala la kusikia! Unakuwa kilaaazanimesikia alipokuwa akihutubia kawe amesema akichaguliwa utengenezaji na unywaji wa gongo utakuwa ni huru.
dkt slaa amesahau kuwa mtu aliyelewa hawezi kujenga nchi.hata mfuko wa saruji ukiuzwa kwa sh.2000 hatoununua badala yake atakwenda kununua gongo inayopatikana kirahisi.
we natamani ungekuwa marehemundio siku zimekaribie, lakini moja la muhimu ni hapo uliposema:
"au mwekeni fisimaji mmoja agombee uraisi uone kama atapata"
ndugu yangu chama ni 'trade mark' muhimu sana. Ccm ilipomuweka mkapa kugombea watanzania wote hawakumjua utendaji kazi wake wala hakuwa hata katika 10 bora waliojulikana (ccm) na watanzania. Hata 3 bora kwa wagombea wa upinzani. Watanzania walichofanya walichagua chama kwa vile walijua hata kama atateteleka basi wapo magwiji watamuonya hata pengine kutompa kipindi cha pili. Isitoshe ilani ya uchaguzi ilikuwepo tayari, na si yeye aliyetengeneza. Hivyo alichotakiwa ni kufuata reli tu na si vinginevyo.
Sasa wenzetu mnakotaka kutupeleka ni kule ambako tanzania haipaswi kupita. Kuwa mtu (rais) aendeshe utawala wa kidikiteta, asisikilize ilani bali aendeshe kutokana na kichwa chake mwenyewe. Hivi nyie mnaelewa hatari ya haya maneno. Hivi mnajua ni asilimia ngapi ya wabunge wakitia kura za 'ndio' ili kupitisha elimu bure. Atapata hiyo idadi ya wabunge? Hapa ndipo mtataka atumie mabavu. Na kwa kufanya hivyo ndio mwisho wa amani.
Jamani msicheze na watanzania mkidhani mtawaburuta mtakavyo nao kwa jina la amani watakaa kimya tu. Anayefikiri hivi anajidanganya. Ombeni radhi ili mjisafishe.
Hujisikia msemo "USICHAGUE CHAMA, CHAGUA MTU" Fafanua tafadhali.
Unaipenda Tanzani? Msikilize tu Mh Slaa lakini kura yako mpe Kikwete.
Ndio siku zimekaribie, lakini moja la muhimu ni hapo uliposema:
"Au mwekeni fisimaji mmoja agombee uraisi uone kama atapata"
Ndugu yangu Chama ni 'trade mark' muhimu sana. CCM ilipomuweka MKAPA kugombea watanzania wote hawakumjua utendaji kazi wake wala hakuwa hata katika 10 bora waliojulikana (CCM) na watanzania. Hata 3 bora kwa wagombea wa upinzani. Watanzania walichofanya walichagua chama kwa vile walijua hata kama atateteleka basi wapo magwiji watamuonya hata pengine kutompa kipindi cha pili. Isitoshe ILANI YA UCHAGUZI ILIKUWEPO TAYARI, NA SI YEYE ALIYETENGENEZA. Hivyo alichotakiwa ni kufuata RELI tu na si vinginevyo.
Sasa wenzetu mnakotaka kutupeleka ni kule ambako Tanzania haipaswi kupita. Kuwa mtu (Rais) aendeshe utawala wa kidikiteta, asisikilize ILANI bali aendeshe kutokana na kichwa chake mwenyewe. Hivi nyie mnaelewa hatari ya haya maneno. Hivi mnajua ni asilimia ngapi ya wabunge wakitia kura za 'NDIO' ili kupitisha elimu bure. Atapata hiyo idadi ya wabunge? Hapa ndipo mtataka atumie mabavu. Na kwa kufanya hivyo ndio mwisho wa amani.
Jamani msicheze na watanzania mkidhani mtawaburuta mtakavyo nao kwa jina la amani watakaa kimya tu. Anayefikiri hivi anajidanganya. Ombeni radhi ili mjisafishe.