Elections 2010 Kama unaitakia mema Tanzania usimchague Mh Slaa

Elections 2010 Kama unaitakia mema Tanzania usimchague Mh Slaa

Hodi hodi home of great thinker,inasikitisha kuona mt mwezetu analazimisha mambo.tunataka atumie nguvu ya hoja na sio hoja ya nguvu,unataka watu waamini unacholitaka na si hali halisi.tupe maelezo ya kueleweka na sio utulazimishe unachokitaka weweeeeeeeeeee............shame on u
 
calibre ya watu wanaomtetea jk inasikitisha sana.
Hawawezi kujenga hoja kwa nini huyo wanaemtaka is better a better leader... badala yake wanaingia kwenye maisha binafsi.
hivi maisha binafsi ya jk yakianza kuwekwa hapa anaweza hata kusimama jukwaani?
 
Umetuonyesha kiwango cha upumbavu, ujinga na ufinyu wa akili/mawazo ulio nao. Naamini ungekuwa una akili wala usingetuletea upuuzi wako hapa.

Nahisi umepata laana toka kwa wazazi wako ndo inayokusumbua na kuona kuwa wana JF wana akili finyu kama yako. Aliyekutuma mwambie amechelewa
 
Kwa wale wote wenye nia njema na Tanzania hawawezi kumpigia kura Mh Slaa. Kumpigia kura Mh Slaa ni sawa na kuitosa Tanzania katikati Bahari.

Ukidhani uchaguzi ni Mchezo, basi unapotea. Na mwenye kubeba mzigo sio Viongozi waliopo madarakani sasa hivi bali ni wewe mpiga kura - mlala hoi.

Ukitaka kujua hatari ya huyu mtu angalia marafiki zake wa karibu na wale wanaosimama majukwaani na kusema "msichague chama, chagueni mtu". Huu ni ujinga kabisa, kwani hii ni nchi ya kidikiteta? Hivi ni mtu mmoja atayeiongoza hii nchi au ni ilani ya chama?

Katika nchi yeyote ile inayofuata demokrasia, Rais hana nguvu ya namna hiyo. Na hapa ndio utajua ajenda za siri na makubaliano yaliyokuwepo kati ya Mh Slaa na hao watu.

Tatizo kubwa la huyu Mh ni elimu aliyosoma, apende asipende inamsogeza karibu na udikiteta
. Sasa tulimkataa DIKITETA Idd Amini, baada ya miaka kadhaa tunamchagua Dikiteta Slaa. Kwa taarifa yenu dikiteta wa kuchaguliwa ni hatari zaidi kuliko yule aliyeingia kwa kupindua nchi.

Nchi itagawanyika vibaya sana ikiwa ndoto yake itakamilika
.

Kuwa Mh Slaa ni Dikiteta nilishayaona wakati nilipokuwa CHADEMA. Sasa nimeamua kuwaelezeni ili mumfahamu Mh Slaa ni nani? Unachoweza kukifanya ni kutompigia kura huyu Mh.

Unaipenda Tanzani? Msikilize tu Mh Slaa lakini kura yako mpe Kikwete.

Huu ni utaahira wa hali juu.
 
Kwa wale wote wenye nia njema na Tanzania hawawezi kumpigia kura Mh Slaa. Kumpigia kura Mh Slaa ni sawa na kuitosa Tanzania katikati Bahari.

Ukidhani uchaguzi ni Mchezo, basi unapotea. Na mwenye kubeba mzigo sio Viongozi waliopo madarakani sasa hivi bali ni wewe mpiga kura - mlala hoi.

Ukitaka kujua hatari ya huyu mtu angalia marafiki zake wa karibu na wale wanaosimama majukwaani na kusema "msichague chama, chagueni mtu". Huu ni ujinga kabisa, kwani hii ni nchi ya kidikiteta? Hivi ni mtu mmoja atayeiongoza hii nchi au ni ilani ya chama?

Katika nchi yeyote ile inayofuata demokrasia, Rais hana nguvu ya namna hiyo. Na hapa ndio utajua ajenda za siri na makubaliano yaliyokuwepo kati ya Mh Slaa na hao watu.

Tatizo kubwa la huyu Mh ni elimu aliyosoma, apende asipende inamsogeza karibu na udikiteta
. Sasa tulimkataa DIKITETA Idd Amini, baada ya miaka kadhaa tunamchagua Dikiteta Slaa. Kwa taarifa yenu dikiteta wa kuchaguliwa ni hatari zaidi kuliko yule aliyeingia kwa kupindua nchi.

Nchi itagawanyika vibaya sana ikiwa ndoto yake itakamilika
.

Kuwa Mh Slaa ni Dikiteta nilishayaona wakati nilipokuwa CHADEMA. Sasa nimeamua kuwaelezeni ili mumfahamu Mh Slaa ni nani? Unachoweza kukifanya ni kutompigia kura huyu Mh.

Unaipenda Tanzani? Msikilize tu Mh Slaa lakini kura yako mpe Kikwete.

wewe ebu ondoa upuuzi wako hapa. Unadhani watu ni wapumbavu kama wewe kiasi cha kuamini propaganda feki kiasi hicho. Kwani nani kakutuma hasa - Loasa, Manji, Lostamu, JK, RK au nani? Umekosea sana. Watu wana akili ya kupima sela na mawazo kuliko akili yako finyu.
 
Angalia mnavyoshindwa kujibu hoja, Hata mkiingia madarakani itakuwa hivyo hivyo ni swaga swaga tu.

Jamani vyama vinginew navionea huruma.

Nauliza tena "usichague chama , chagua mtu" Tutafsirie hata kikwenu.

Hapa ndipo udikiteta ulipolala. Kama utashindwa kujibu na kutuletea picha zisizo na mpango, tutaelewa kuwa MADIKITETA WAMEPIGA HODI.
how do you relate huo msemo na udikteta?kwani kuchagua chama ndio kuna guarantee kua utawala hautakua wa kidikteta?.....think critically then conclude intellectually
 
SI MAPINDUZI YOTE NI HARAMU!!!Mengine yanafaida kwa wananchi!
 
Njaa kitu kibaya sana! Ni heri uwe masikini wa pesa kuliko kuwa masikini wa fikra! Miaka 50 with blatant blabla bado unaona hayo ni mema? What are you? Selfishness of highest level!
Hoja yako iko wapi? Kwa miaka 15 wananchi wa Karatu hawakuona udikteta unaousema! Wamemwona kiongozi mwadilifu, mchapa kazi mtetezi wa wanyonge anayeuchukia ufisadi!
Wewe umepewa hicho ki sh 10000 na hao CCM, unaanza kubwabwaja kama vuvuzela! Unashangaza sana!
 
Njaa kitu kibaya sana! Ni heri uwe masikini wa pesa kuliko kuwa masikini wa fikra! Miaka 50 with blatant blabla bado unaona hayo ni mema? What are you? Selfishness of highest level!
Hoja yako iko wapi? Kwa miaka 15 wananchi wa Karatu hawakuona udikteta unaousema! Wamemwona kiongozi mwadilifu, mchapa kazi mtetezi wa wanyonge anayeuchukia ufisadi!
Wewe umepewa hicho ki sh 10000 na hao CCM, unaanza kubwabwaja kama vuvuzela! Unashangaza sana!


Watanzania sio mabwege tena!
 
Sasa Zawadi, najaribu kutaka kukuelewa lkn unanipa wakati mgumu sana, Shida ya Slaa ni elimu yake? watu anakaa nao jukwaani (ambao umeshindwa kuwataja) au shida ni wewe mwenye uwezo mdogo wa kuchambua vision ya Dr.Slaa?Hebu tulia, then organise your thoughts, and then uje tena hapa ukiwa umekamilika kutoa hoja kwa watu weledi! Sawa Mama?
 
Hata useme vipi? hutudanganyi, hujaongea lolote, toa argument za maana, dikteta? CCm je tusemeje? wameng`ang`ana.....
 
calibre ya watu wanaomtetea jk inasikitisha sana.
Hawawezi kujenga hoja kwa nini huyo wanaemtaka is better a better leader... badala yake wanaingia kwenye maisha binafsi.
hivi maisha binafsi ya jk yakianza kuwekwa hapa anaweza hata kusimama jukwaani?

Mkuu unajua kuna wakati naona wanaomuunga mkono wana sababu. Inawezekana wanapata financial support kutoka upande wa CCM na JK akinodka madarakani mirija yao inaweza kukatwa. Muhimu ni kuendelea kuelimishana tu.
 
...Ignore her. Just anotherBootYlicker working for her stomach.
 
Lazima katumwa huyu! Kwani kuna tatizo gani na hiyo statement? Ndio tutachagua mtu! Kwa vile tunajua mtu huyo hatafanya kazi peke yake na wala hatafanya kazi kwenye vacuum! Wewe ndio unaehitaji msaada wa kueleweshwa hiyo statement!
 
Hujisikia msemo "USICHAGUE CHAMA, CHAGUA MTU" Fafanua tafadhali.


Nilidhani wewe ni great thinker - kumbe unahitaji msaada - hebu soma maelezo yangu yakufungue ufahamu wako

"CHAMA CHOCHOTE KINAONGOZWA NA MTU - NA MFANO CHAMA CHA CCM KIMEMPITISHA JK KUWA MGOMBEA WAKE (KIONGOZI) - UNAPOAMUA KUCHAGUA CHAMA NA CHAMA HICHO KIKIWA KINAONGOZWA NA MTU ANAYETETEA MAFISADI HUONI KAMA UNAPOTEA????

NDIO MAANA UNAPASWA KUANGALIA "MTU" GANI ANAONGOZA CHAMA GANI - KAMA MTU HUYO NI SAFI - BASI MCHAGUE YEYE - "MTU" KWANI ATAKUWA NA UWEZO WA KUKIONGOZA CHAMA HATA KAMA NI KICHANGA - KITAPATA DIRA SAHIHI - E.G. CHADEMA
NA SIO CHAMA E.G. CCM - MRADI TU LABDA MWANZILISHI(MWALIMU NYERERE) ALIKUWA MWADILIFU NA CHAMA KIKAWA NA SERA NZURI - LAKINI BAADAYE WAKATOKEA VIONGOZI BOMU" E.G. JK

hope umeelewa - NDIO MAANA TUMEAMUA KUMCHAGUA MTU - DR. SLAA - MTU MAKINI MWENYE UCHUNGU NA MALI ZA NCHI YETU na TUMEAMUA KUTOICHAGUA CCM [CHAMA] KINACHOONGOZWA NA KIONGOZI ANAYETETEA MAFISADI HADHARINI BILA AIBU - yes!! thats it ........................ AND HERE I DARE TALK OPENLY!! - jamii forum oyeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
...the Rev IS BACK...how godd is this...I wonder....na wewe biti ngoda sijui ulimegwa na huyo umteteae au ndio SK mwenyewe....keep wishing lakini watu wata vote kwa utashi wao..
 
Buku mbilimbili zina adhirisha watu. Nani kakwambia katika uchaguzi kunachaguliwa chama? huna hata muda wa kufikir!!i. Kuna vichwa nafikiri vinahitaji kuflashiwa. Anayechaguliwa ni mtu,ndiyo maana kuna kampeni ili hao wagombea wasikilizwe na uwezo wao wa kuongoza ujulikane. Inawezekana huelewi vizuri suala zima la uchaguzi au siasa. Kumbuka kuna baadhi ya nchi kuna wagombea binafsi ambao hawana chama chochote wanachowakilisha, hivi majuzi mahakama kuu ilikaa kama jopo kutengua uwezekano wa kuwa na mgombea binafsi, fikiria kama mahakama ingeamua awepo mgombea binafsi hoja zako hapo juu si zingeitwa ujinga? Unapotaka kutoa maoni kwenye uwanja kama huu jipime kwanza uwezo wako wa kujenga hoja, Kunyamaza pia ni kujijengea heshima. umepewa zawadi ?
 
Kwa wale wote wenye nia njema na Tanzania hawawezi kumpigia kura Mh Slaa. Kumpigia kura Mh Slaa ni sawa na kuitosa Tanzania katikati Bahari.

Ukidhani uchaguzi ni Mchezo, basi unapotea. Na mwenye kubeba mzigo sio Viongozi waliopo madarakani sasa hivi bali ni wewe mpiga kura - mlala hoi.

Ukitaka kujua hatari ya huyu mtu angalia marafiki zake wa karibu na wale wanaosimama majukwaani na kusema "msichague chama, chagueni mtu". Huu ni ujinga kabisa, kwani hii ni nchi ya kidikiteta? Hivi ni mtu mmoja atayeiongoza hii nchi au ni ilani ya chama?

Katika nchi yeyote ile inayofuata demokrasia, Rais hana nguvu ya namna hiyo. Na hapa ndio utajua ajenda za siri na makubaliano yaliyokuwepo kati ya Mh Slaa na hao watu.

Tatizo kubwa la huyu Mh ni elimu aliyosoma, apende asipende inamsogeza karibu na udikiteta
. Sasa tulimkataa DIKITETA Idd Amini, baada ya miaka kadhaa tunamchagua Dikiteta Slaa. Kwa taarifa yenu dikiteta wa kuchaguliwa ni hatari zaidi kuliko yule aliyeingia kwa kupindua nchi.

Nchi itagawanyika vibaya sana ikiwa ndoto yake itakamilika
.

Kuwa Mh Slaa ni Dikiteta nilishayaona wakati nilipokuwa CHADEMA. Sasa nimeamua kuwaelezeni ili mumfahamu Mh Slaa ni nani? Unachoweza kukifanya ni kutompigia kura huyu Mh.

Unaipenda Tanzani? Msikilize tu Mh Slaa lakini kura yako mpe Kikwete.


CCM wanaswa wakinunua shahada

*Polisi yakiri kuwashikilia viongozi

Wakati jihudi za kuliokoa Jimbp la Bukombe liko katika hatihati za za kunyakuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zikipamba moto, viongozi wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilayani humo wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukutwa wakinunua shahada kutoka kwa wapiga kura.

Habari kutoka Bukombe ambazo zimethibitishwa na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Seleman Nyakipande, zinasema viongozi hao ni Juma Mhoja na Shadrack Paul, ambao ni makatibu wa Tawiu la Ushirombo na Msonga.

Alisema viongozi hao walikamatwa katika Kijiji cha Msonga, Kata ya Runzewe wakiwa tayari wamenunua shahada 185 za kupiga kura kutoka kwa wananchi ambao walikuwa wanarubuniwa na baadhi ya makada wa CCM ambao wako katika mkakakati wa kuliokoa jimbo hilo.

Viongozi hao walikuwa wakinunua shahada hizi kwa bei ya kati ya Sh 2,000 na 5,000 huku lengo likionekana kuwalenga zaidi wafuasi wa Chadema ili kudhoofisha nguvu iliyopo.

Kamanda Nyakipande alisema polisi inaendelea kuwafanyia uchunguzi watuhumiwa hao kwa kushirikiana na TAKUKURU kwa madai kuwa tukio hilo linaingiliana na Sheria ya Gharama za Uchaguzi.

Hali ya siasa katika jimbo hilo iko tete kutokana na upinzani mkali uliopo kati ya CCM na Chadema, sababu kubwa ni kutokana na kuwapo makundi katika CCM baada ya kura za maoni zilizoibua malalamiko mengi.


Chanzo: T. Daima




....tutawachaguaje kama mnanunua shahada.....mna hatari na laana itawaandama wote mnaopiga propaganda hizi. !!God is watching you!!! mnafumbia macho udhalimu wa ccm kwa sbb mmelipwa?
its hard to believe hata watumishi wa Mungu wanaunga mkono udhalimu huu.





 
Back
Top Bottom