Kama unajiamini unajua kiingereza kuja hapa

Kama unajiamini unajua kiingereza kuja hapa

Kweli vilaza mko wengi...sio lazma kingereza kiwe na direct translation ya kiswahili,hakuna haja ya kutumia "number" kwenye hiyo sentesi..kwa mfano;
Dad, where do i come in your lineage?....it could be; first,second etc...
 
Kweli vilaza mko wengi...sio lazma kingereza kiwe na direct translation ya kiswahili,hakuna haja ya kutumia "number" kwenye hiyo sentesi..kwa mfano;
Dad, where do i come in your lineage?....it could be; first,second etc...
Kwa hiyo ukijua kiingereza ndio unapata qualification ya kutokua kilaza?

Kiingereza ni lugha kama kijaluo tu.
 
Namna nyingine hii hapa

Child: Dad I don't believe am your child.

Dad: Yes you are.

Child: Prove it.

Dad: You are my second child.

Child: Ooh
Ukisikia wazee wanjia zapanya basi huyu nae nimmoja wapo yena kiongozi
 
Baba katika wanao mimi ni wangapi kuzaliwa
Dad among your kids I am what number to be born? (LoL)
Dad among your kids what is my birth order?
 
Back
Top Bottom