Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
Mara kadhaa Masikini tumekuwa na kauli mbali mbali za kuonyesha kuwa Umaskini ni haki yetu na moja wapo wa kauli ni hii MASKINI JEURI, Yaani Maskini pia Jeuri .
Na kweli ukiwaona MASKINI jeuri utasema kweli jeuri imewaponza , Kwa sababu wamejiweka kwenye mazingira ambayo hawasaidiki
Maskini jeuri utakuta wana sifa hizi:
1.Kuwasema vibaya matajiri kutwa nzima.
2.Kuwachukia matajiri bila hata sababu zenye mashiko.
3.Kujifanya wajuaji sana na ubishi kupitiliza.
4.Kujitenga na matajiri kwa dhana ya kutojipendekeza kumbe ndio wanajikandamiza.
5.Kujisia kwa jeuri zao za kimaskini.
Sina maana ujipendekeze kwa matajiri ila namaanisha usijipe jeuri inayofanya utengwe , muda mwingine fursa hutoka kwa watu sasa kwa jeuri yako hiyo utaendelea kubaki kwenye umaskini huo maisha yote.
#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako.
Na kweli ukiwaona MASKINI jeuri utasema kweli jeuri imewaponza , Kwa sababu wamejiweka kwenye mazingira ambayo hawasaidiki
Maskini jeuri utakuta wana sifa hizi:
1.Kuwasema vibaya matajiri kutwa nzima.
2.Kuwachukia matajiri bila hata sababu zenye mashiko.
3.Kujifanya wajuaji sana na ubishi kupitiliza.
4.Kujitenga na matajiri kwa dhana ya kutojipendekeza kumbe ndio wanajikandamiza.
5.Kujisia kwa jeuri zao za kimaskini.
Sina maana ujipendekeze kwa matajiri ila namaanisha usijipe jeuri inayofanya utengwe , muda mwingine fursa hutoka kwa watu sasa kwa jeuri yako hiyo utaendelea kubaki kwenye umaskini huo maisha yote.
#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako.