Uchaguzi 2020 Kama unajisikia uchungu kwa ushindi wa CCM mwombe Mungu akuponye na hii hali

Uchaguzi 2020 Kama unajisikia uchungu kwa ushindi wa CCM mwombe Mungu akuponye na hii hali

Najua wapo wengi wanajiuliza mustakabali wa kisiasa katika miaka mitano ijayo na kubaki wakiumia tu. Wanaumia kutokana na ukweli kwamba, nafasi karibu zote za uwakilishi wa kisiasa, zimechukuliwa na CCM.

Imefika muda tukubali tu kuwa haya ni mapenzi ya Mungu.

Viongozi wa dini wengi wanakiunga mkono chama hiki. Wasanii wengi wanakiunga mkono chama hiki. Matajiri wengi wanakiunga mkono chama hiki.

Kina mama wengi wanakiunga mkono. Wasomi wengi wanakiunga mkono. Cha kushangaza zaidi wale maskini ndio wanaongoza kutoa dhihaka kwa wapinzani walioshindwa.

Nimebaki najiuliza hawa wapinzani ni nani? Ni watu wa aina gani? Wale wasomi wa tabia za binadamu niambieni, huenda kuna watu wamezaliwa wapinzani?Kama ndivyo tusaidieni maana kama upinzani ni tabia, basi naona kabisa si tabia nzuri. Haiwezekani hata Mungu awasuse.

Maana kupigwa ni wao, kuteswa ni wao, ikibidi kufa ni wao. Hii si ishara mbaya?

Kama kuna mtu ana elimu tafadhali,atuelimishe sie. Maana imeandikwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mungu amewakataa watu wasio na maarifa. Kama ni dhambi kuwa mpinzani tuambieni,watu wengi hawapendi dhambi japo wanaitenda. Lakini ni vibaya sana kufanya kitu ukijua ni halali Kumbe si halali.

Au wasomi mmeshindwa pia kujua kwa nini kuna wapinzani?Au adui yetu "ujinga" bado ni tishio licha ya kuongezeka kwa vyuo vikuu?

Mwisho nitoe wito kuwa,inabidi tukubali kuwa Mungu amewapa kibali ccm. Pia nawaomba ccm, kuliko kuruhusu watu kuteswa, kupigwa mabomu, na hata risasi za moto kwa vile tu ni wapinzani, fanyeni jambo moja muhimu sana; Futeni sheria ya vyama vingi. Sasa mpo wengi bungeni hakuna mtu wa kuwazuia. Epusheni watu kuumizwa kwa kuwa wao ni wapinzani. Mungu atazidi kuwabariki
Kama kweli una hofu ya Mungu,nenda katubu mbele zake kwa kumtaja na kunajisi jina lake.
 
Najua wapo wengi wanajiuliza mustakabali wa kisiasa katika miaka mitano ijayo na kubaki wakiumia tu. Wanaumia kutokana na ukweli kwamba, nafasi karibu zote za uwakilishi wa kisiasa, zimechukuliwa na CCM.

Imefika muda tukubali tu kuwa haya ni mapenzi ya Mungu.

Viongozi wa dini wengi wanakiunga mkono chama hiki. Wasanii wengi wanakiunga mkono chama hiki. Matajiri wengi wanakiunga mkono chama hiki.

Kina mama wengi wanakiunga mkono. Wasomi wengi wanakiunga mkono. Cha kushangaza zaidi wale maskini ndio wanaongoza kutoa dhihaka kwa wapinzani walioshindwa.

Nimebaki najiuliza hawa wapinzani ni nani? Ni watu wa aina gani? Wale wasomi wa tabia za binadamu niambieni, huenda kuna watu wamezaliwa wapinzani?Kama ndivyo tusaidieni maana kama upinzani ni tabia, basi naona kabisa si tabia nzuri. Haiwezekani hata Mungu awasuse.

Maana kupigwa ni wao, kuteswa ni wao, ikibidi kufa ni wao. Hii si ishara mbaya?

Kama kuna mtu ana elimu tafadhali,atuelimishe sie. Maana imeandikwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mungu amewakataa watu wasio na maarifa. Kama ni dhambi kuwa mpinzani tuambieni,watu wengi hawapendi dhambi japo wanaitenda. Lakini ni vibaya sana kufanya kitu ukijua ni halali Kumbe si halali.

Au wasomi mmeshindwa pia kujua kwa nini kuna wapinzani?Au adui yetu "ujinga" bado ni tishio licha ya kuongezeka kwa vyuo vikuu?

Mwisho nitoe wito kuwa,inabidi tukubali kuwa Mungu amewapa kibali ccm. Pia nawaomba ccm, kuliko kuruhusu watu kuteswa, kupigwa mabomu, na hata risasi za moto kwa vile tu ni wapinzani, fanyeni jambo moja muhimu sana; Futeni sheria ya vyama vingi. Sasa mpo wengi bungeni hakuna mtu wa kuwazuia. Epusheni watu kuumizwa kwa kuwa wao ni wapinzani. Mungu atazidi kuwabariki

Yaani hayo ndo unaita mapenzi ya Mungu?
 
Najua wapo wengi wanajiuliza mustakabali wa kisiasa katika miaka mitano ijayo na kubaki wakiumia tu. Wanaumia kutokana na ukweli kwamba, nafasi karibu zote za uwakilishi wa kisiasa, zimechukuliwa na CCM.

Imefika muda tukubali tu kuwa haya ni mapenzi ya Mungu.

Viongozi wa dini wengi wanakiunga mkono chama hiki. Wasanii wengi wanakiunga mkono chama hiki. Matajiri wengi wanakiunga mkono chama hiki.

Kina mama wengi wanakiunga mkono. Wasomi wengi wanakiunga mkono. Cha kushangaza zaidi wale maskini ndio wanaongoza kutoa dhihaka kwa wapinzani walioshindwa.

Nimebaki najiuliza hawa wapinzani ni nani? Ni watu wa aina gani? Wale wasomi wa tabia za binadamu niambieni, huenda kuna watu wamezaliwa wapinzani?Kama ndivyo tusaidieni maana kama upinzani ni tabia, basi naona kabisa si tabia nzuri. Haiwezekani hata Mungu awasuse.

Maana kupigwa ni wao, kuteswa ni wao, ikibidi kufa ni wao. Hii si ishara mbaya?

Kama kuna mtu ana elimu tafadhali,atuelimishe sie. Maana imeandikwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mungu amewakataa watu wasio na maarifa. Kama ni dhambi kuwa mpinzani tuambieni,watu wengi hawapendi dhambi japo wanaitenda. Lakini ni vibaya sana kufanya kitu ukijua ni halali Kumbe si halali.

Au wasomi mmeshindwa pia kujua kwa nini kuna wapinzani?Au adui yetu "ujinga" bado ni tishio licha ya kuongezeka kwa vyuo vikuu?

Mwisho nitoe wito kuwa,inabidi tukubali kuwa Mungu amewapa kibali ccm. Pia nawaomba ccm, kuliko kuruhusu watu kuteswa, kupigwa mabomu, na hata risasi za moto kwa vile tu ni wapinzani, fanyeni jambo moja muhimu sana; Futeni sheria ya vyama vingi. Sasa mpo wengi bungeni hakuna mtu wa kuwazuia. Epusheni watu kuumizwa kwa kuwa wao ni wapinzani. Mungu atazidi kuwabariki
 
Turudishieni mitandao tusheherekeee ushindiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Mungu wabariki wapinzani
 
Basi Mmmeshinda eee.. Hongereniii


Tutawakeraaaaaaa!!!

Ccm JUUU

Mbona mvua inanyeshea woote. Na hata ukame pia unatupata wooote. Its only when and where will you be at that time.



TUTAKEREKA WOTE KWA MDA UNAOTOFAUTIANA.
 
Mungu yupi kawapa kibali cha kuiba kura kuua watu Zanzibar? Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
Sasa kama Lissu ilikuwa ni mpango wa Mungu ila sasa tunaona huo mpango haujafanikiwa,je unataka kusema kuwa mpango wa Mungu umeshindwa? AU labda tuseme Lissu hakuwa mpango wa Mungu na ndio maana hadi sasa tunavyoongea ccm bado ipo madarakani,la sivyo mipango ya Mungu huwa haishindwi.
 
Japo upinzani sio vyama ila sasa tuna upinzani kwa ajili ya vyama tu.
 
Back
Top Bottom