Kama unajiuliza kwanini leo Tetesi za Mchezaji Clatous Chama kutua Yanga SC zimekuzwa jibu rahisi na jepesi tu ni hili hapa

Kama unajiuliza kwanini leo Tetesi za Mchezaji Clatous Chama kutua Yanga SC zimekuzwa jibu rahisi na jepesi tu ni hili hapa

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kwa Propaganda Machine iliyoko Yanga SC kwa Usajili wa Kocha mpya wa Simba SC mwenye Viwango si tu vya Kimataifa bali hata vya Mbinguni kwake Mwenyezi Mungu kutoka nchini Hispania kulihitajika kuwe na Taarifa ya Kushtua na kufanya Counter ili kuweka Mizania na kuhamisha Fikra za Watu na Stori Kuu Mjini iwe ni Chama na siyo Kocha mahiri Pablo.

Msidanganyike na acheni pia Kupoteza muda tena KEROZENE nasema nikijiamini kabisa 100% baada ya kuwa na uhakika ni kwamba Mchezaji Clatous Chota Chama hatui / haendi Yanga SC hata wamtengee Kiasi gani ila kama akiamua kurejea Tanzania tegemeeni kusikia anatua Simba SC tu.
 
Duuuh!!!!Mkuu hizi mambo [emoji117] . , " ' ; : ? ![emoji118] unazijua?
 
Hawana uwezo wa kumiliki miguu kama ile, waendelee kumvumilia tu makambo na kumpa muda anaweza akarudi kwenye form na akafanya vizuri kwenye mechi za lipuli na geita gold
 
Mpira wa Tz..

The more things change the more they stay the same
 
Back
Top Bottom