DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mgongo unakuuma tafuta godoro la kunesa nesa ndo linakufaaHapana mkuu,yaani unakuta kabisa saa kumi au kumi na moja natoka kitandani kabisa na kulala chini
Gharama yake imechangamka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgongo unakuuma tafuta godoro la kunesa nesa ndo linakufaaHapana mkuu,yaani unakuta kabisa saa kumi au kumi na moja natoka kitandani kabisa na kulala chini
Sina tatzo lolote la mgongo wala ila tu ndo hivyoMgongo unakuuma tafuta godoro la kunesa nesa ndo linakufaa
Gharama yake imechangamka
Basi hapo hamna tatizoBro mbona kitanda ninacholala kikubwa tu means hela ipo
Broo tafuta googleUongo
unatoka kitandani na kulala chini ukiwa unajitambua au unajikuta uko umelala chini?Hapana mkuu,yaani unakuta kabisa saa kumi au kumi na moja natoka kitandani kabisa na kulala chini
Nunua godoro acha kulalia ulimiMimi huwa silali kitandani,natandika mkeka wangu nalala chini aisee nahamka nikiwa fresh kabisa,hakuna hata kiungo kinauma,na sitakuja kulala kitandani tena
Najitambuaunatoka kitandani na kulala chini ukiwa unajitambua au unajikuta uko umelala chini?
Sina shida na godoro ni zuri mno….ila ndo hivyo mornie naacha kitanda changu 5x6 inch 10 naingia kwa floorWatu mnalalia godoro za malaika mnasingizia kitanda kinaleta maumivu ya mgongo, nunueni magodoro binafsi nikilala chini naamka mwili wote unauma.
basi ikifika alifajiri sema leo silali chini jikaze tuone kama utapata shida yoyote usipolala chini.Najitambua
Una pepo.Wadau humu, kuna kitu nataka kushare na nyie.Sijui kama na wengine hii hali upitia au lah!!! Nimekuwa na tendency ya kuamka usiku kama saa kumi hivi then natoka kitandani na kulala chini hadi ile saa 12 ninapo amka,sasa sijui ni kitu cha kawaida au kuna namna
Sawabasi ikifika alifajiri sema leo silali chini jikaze tuone kama utapata shida yoyote usipolala chini.
nadhani ni kujiendekeza na mazoea tu
Tatizo sio kitanda ni godoroMimi huwa silali kitandani,natandika mkeka wangu nalala chini aisee nahamka nikiwa fresh kabisa,hakuna hata kiungo kinauma,na sitakuja kulala kitandani tena
Kwann mkuuNataka kujua umeoa au umeolewa? Maana kama uko ndani ya ndoa jiandae kulia na kusaga meno
Weka na picha basi tuone ukiwa umelala chini ya kitanda.Wadau humu, kuna kitu nataka kushare na nyie.Sijui kama na wengine hii hali upitia au lah!!! Nimekuwa na tendency ya kuamka usiku kama saa kumi hivi then natoka kitandani na kulala chini hadi ile saa 12 ninapo amka,sasa sijui ni kitu cha kawaida au kuna namna