Tesco Tesco
Member
- Jun 3, 2024
- 7
- 20
Nafikir kama unaimiliki namba ya Nida au kitambulisho Cha NIDA hasa wale walioandikishwa wakati zoezi la utoaji wa NIDA linaanza utakubaliana na mimi mambo yafuatayo:
1.picha zetu sio halisia
2.kadi Zina makosa mengi Kama
A .majina yamekosewa Sana
B.Tarehe za kuzaliwa zimekosewa pia
Ningeshauri kuwen na mda wa kuhuisha taarifa zetu ili vitambulisho vyetu viwe na uhalisia kwani vinatupa shida kwenye matumizi mbalimbali..Asante🙏
1.picha zetu sio halisia
2.kadi Zina makosa mengi Kama
A .majina yamekosewa Sana
B.Tarehe za kuzaliwa zimekosewa pia
Ningeshauri kuwen na mda wa kuhuisha taarifa zetu ili vitambulisho vyetu viwe na uhalisia kwani vinatupa shida kwenye matumizi mbalimbali..Asante🙏