sasa mimi nimeomba wanirekebishie jina langu tangu mwaka jana 2023 April hadi hii 2024 Octoba, wananiomba cheti cha ubatizo na vyeti vya kuzaliwa watoto???, vyeti vyangu vyote niliwapa wakasema ongezea na cha ubatizo...hakuna majibu. Siku nimewapelekea yule aliyevipokea anashangaa eti kwani tulisema cheti cha ubatizo nacho...nikawapa barua waliyonitaka niwape nikaona macho yanawatoka...nawa zoom tu!!!. wa hovyo sana hao nida, wamepeana ajira kwa ngono na undugu tu humo maofisini..hakuna weledi wowote yaani