ForeverMore
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 812
- 1,939
Nafikiri watanzania wengi wangependa kuingia kwenye kilimo. Ila wengi hawana information za kutosha kuanza kilimo.
Ushauri wangu
1. Jaribu hata roughly kusema huo mtaji unaosema ni kuanzia shilingi ngapi.
2. Kama nilivyosema, wengi hatuna elimu ya kilimo, lakini vile vile wazungu wanasema Knowledge is Power. Nikimaanisha, unauwezo wa kuuza maalifa yako kwa kupitia mtandao wa freelancing kama wa www.ajiras.com wa bongo.
Ukiwa unasubiria mtu mwenye mtaji muingie naye ubiya, register katika tovuti ya www.ajiras.com weka ujuzi wako na bei zako. Watu waje kununua maarifa ikiwemo ushauri na pia usimamiza wa mashamba yao.
Unaweza toza kwa fixed amount au kwa masaa, siku, wiki na mwezi.
Siku hizi mpango mzima ni kujiajiri tu. Cheki page zao za instagram na facebook @ajirasdotcom
Ushauri wangu
1. Jaribu hata roughly kusema huo mtaji unaosema ni kuanzia shilingi ngapi.
2. Kama nilivyosema, wengi hatuna elimu ya kilimo, lakini vile vile wazungu wanasema Knowledge is Power. Nikimaanisha, unauwezo wa kuuza maalifa yako kwa kupitia mtandao wa freelancing kama wa www.ajiras.com wa bongo.
Ukiwa unasubiria mtu mwenye mtaji muingie naye ubiya, register katika tovuti ya www.ajiras.com weka ujuzi wako na bei zako. Watu waje kununua maarifa ikiwemo ushauri na pia usimamiza wa mashamba yao.
Unaweza toza kwa fixed amount au kwa masaa, siku, wiki na mwezi.
Siku hizi mpango mzima ni kujiajiri tu. Cheki page zao za instagram na facebook @ajirasdotcom