Kama Unaona Dalili hizi 7 katika Mahusiano yako anza Kufikiria Kuondoka

Kama Unaona Dalili hizi 7 katika Mahusiano yako anza Kufikiria Kuondoka

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20241112_173905_Google.jpg


Kama mahusiano yako yanakufanya ujisikie kuchoka na hauna raha,basi si wakati muafaka kwako kuendelea nayo

Kama unajikuta kila unachofanya ni kwa ajili ya kuhakikisha mahusiano yako yanaendelea basi jua unapoteza namna ya kufanya mambo yako mengine,kwa maana nyingine umepoteza uhuru wa kufanya mambo yako.

Kama pamoja na kuwa katika mahusiano lakini bado unajisikia upo mpweke basi huo uhusiano hauna afya nzur sana kwako,ni bora kufikiria namna nyingine ya kufanya.

Ikiwa katika mahusiano yako ugomvi huwa mwingi zaidi kuliko amani basi jua hapo kuna shida mahala,kuna mahusiano mengine ugomvi ndio sehemu ya kila siku basi tambua hapo utakuwa chizi wa mapenzi mda si mrefu.

Endapo mahusiano yako yanakufanya ushindwe kufanya baadhi ya mambo ambayo ni muhimu kwako na yenye thamani kwa kile kinachoitwa uchague mambo yako au mapenzi,hapo umepigwa,angalia namna nyingine

Ikiwa mahusiano yako hayakufanyi uwe mtu bora na mwenye mabadiliko hapo kuna shida,sio katika mtazamo wa kiuchumi laa! Ila katika namna nzima ya kuishi maisha yako

Na mwisho kama unakaa kwenye mahusiano kwasababu ya kuogopa upweke tu na si kufurahia mapenzi hapo pana shida,jiongeze

Ni hayo tu!
 
View attachment 3150440

Kama mahusiano yako yanakufanya ujisikie kuchoka na hauna raha,basi si wakati muafaka kwako kuendelea nayo

Kama unajikuta kila unachofanya ni kwa ajili ya kuhakikisha mahusiano yako yanaendelea basi jua unapoteza namna ya kufanya mambo yako mengine,kwa maana nyingine umepoteza uhuru wa kufanya mambo yako.

Kama pamoja na kuwa katika mahusiano lakini bado unajisikia upo mpweke basi huo uhusiano hauna afya nzur sana kwako,ni bora kufikiria namna nyingine ya kufanya.

Ikiwa katika mahusiano yako ugomvi huwa mwingi zaidi kuliko amani basi jua hapo kuna shida mahala,kuna mahusiano mengine ugomvi ndio sehemu ya kila siku basi tambua hapo utakuwa chizi wa mapenzi mda si mrefu.

Endapo mahusiano yako yanakufanya ushindwe kufanya baadhi ya mambo ambayo ni muhimu kwako na yenye thamani kwa kile kinachoitwa uchague mambo yako au mapenzi,hapo umepigwa,angalia namna nyingine

Ikiwa mahusiano yako hayakufanyi uwe mtu bora na mwenye mabadiliko hapo kuna shida,sio katika mtazamo wa kiuchumi laa! Ila katika namna nzima ya kuishi maisha yako

Na mwisho kama unakaa kwenye mahusiano kwasababu ya kuogopa upweke tu na si kufurahia mapenzi hapo pana shida,jiongeze

Ni hayo tu!
Naongezea, tena hii iwe ya kwanza kabisa... Kama hakuna mawasiliano imara baina yenu (mawasiliano kuegemea upande mmoja/mmoja ndio anamtafuta mwenzake wakati wote) = wewe ni wa ziada kimbia usigeuke nyuma
 
Naongezea, tena hii iwe ya kwanza kabisa... Kama hakuna mawasiliano imara baina yenu (mawasiliano kuegemea upande mmoja/mmoja ndio anamtafuta mwenzake wakati wote) = wewe ni wa ziada kimbia usigeuke nyuma
Yep hili nalo litazamwe kabisa,maana kama upande mmoja ndio unao husika na mawasiliano,maana yake huyo mwengine inaonyesha hamhitaji mwenzake,kwahiyo hapa kuna mmoja ndio anabembeleza penzi,kitu ambacho sio sawa
 
Back
Top Bottom