Kama unaona Simba SC imefanya vibaya leo mkitoka kwa Wanaijeria ombeni nao Mechi ya Kirafiki mkoge goli 10

Kama unaona Simba SC imefanya vibaya leo mkitoka kwa Wanaijeria ombeni nao Mechi ya Kirafiki mkoge goli 10

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mnaacha kuwapongeza Simba SC kwa kumfunga Bingwa wa Kombe Klabu Bingwa Afrika ambalo umeishia njiani na kuangukia Kombe la Walioshindwa CAFCC unaanza kutabiri kuwa Safari ya Simba SC ndiyo imefikia mwisho!

Mkiambiwa hamna akili mnanuna!
 
Walipaswa watafute walau goli 2 goli moja unashinda kwako and you expect wonder
 
Mechi ya marudiano, first half beki wa SeMBe anakula umeme second half wanamaliza mchezo.
Lakini mchezo ukiwa haki bin haki SeMBe anaweza kupata hata sare na kuchukua kombe jipya la SEMI FINAL.
 
Mnaacha Kuwapongeza Simba SC kwa Kumfunga Bingwa wa Kombe Klabu Bingwa Afrika ambalo umeishia njiani na Kuangukia Kombe la Walioshindwa CAFCC unaanza Kutabiri kuwa Safari ya Simba SC ndiyo imefikia mwisho.

Mkiambiwa hamna Akili mnanuna!!!
Kichwa chako ni mtofu
 
Kuna mchungaji katabili JAMAA- watafungwa nje ndani na WANAIGERIA sijui katabir Kweli ngoja tuone kwanza kama itakuwa kweli
Amini / Muamini huyo aliyetabiri Oky?
 
Mnaacha kuwapongeza Simba SC kwa kumfunga Bingwa wa Kombe Klabu Bingwa Afrika ambalo umeishia njiani na kuangukia Kombe la Walioshindwa CAFCC unaanza kutabiri kuwa Safari ya Simba SC ndiyo imefikia mwisho!

Mkiambiwa hamna akili mnanuna!
Zile goli 3 mpaka 4 ulizosema wanapigwa waarabu baada ya kuroga zimeyeyukia wapi? Mlichofanikiwa ni kuifanya miguu yao iwe mizito kufanya maamuzi na bado mkaambulia kigoli kimoja sasa nendeni kwao mkapelekewe moto wa jehanamu!
 
Back
Top Bottom