Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Pesa zipo kiongoziBaki hapa hapa Dar mkuu madangq yakugombanie😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa zipo kiongoziBaki hapa hapa Dar mkuu madangq yakugombanie😂
vipo vingi mkuu,njoo mtaa wa simba hapa location kibao,madili ya kutosha huku,hakuna foleni,joto,wala usumbufu wowote ,mchele kilo 1300 super safiSiondoki nani akaishi mpwimbe katavi? Uko Kuna kitambaa cheupe?
njoo hapa B'pes kaka tule nyama ya swala na bia bardii watoto wa kifipa kama woteNiko hapa Stalike mbona, Leo kuna Kanga moko, aliyeko Katavi hapa namkaribisha Stalike aje
chaap kwa haraka nakuja, nimevaa t-shirt brown na pensi ya jinzinjoo hapa B'pes kaka tule nyama ya swala na bia bardii watoto wa kifipa kama wote
Anataka ukalogwe ufe mapemaSiondoki nani akaishi mpwimbe katavi? Uko Kuna kitambaa cheupe?
😂Yani ni hivi hapa tumefika na hatuondoki
Bora ww ni mkweli kabisaKama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi
1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari
2. Unafika kwako saa nne usiku na kuendelea sababu ya changamoto za usafiri
3. Kipato chako kinaishia kwenye kodi na usafiri
4. Unaishi zaidi ya kilomita 40 kutoka eneo lako la kazia
5. Maisha yako ni joto, mbu na kugombania dala dala
6. Muhanga wa mafuriko kila mwaka
Nakuhakikishia mikoa 27 iliyibaki ukitoa Dar ndipo ulipoandikiwa kutoboa
Kumbuka kuteseka sio sifa na hakuna kombe la kuteseka
Ni mtazamo tu
Kwa mwendo huo 3/4 ya watu wa Dar watahama...Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi
1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari
2. Unafika kwako saa nne usiku na kuendelea sababu ya changamoto za usafiri
3. Kipato chako kinaishia kwenye kodi na usafiri
4. Unaishi zaidi ya kilomita 40 kutoka eneo lako la kazia
5. Maisha yako ni joto, mbu na kugombania dala dala
6. Muhanga wa mafuriko kila mwaka
Nakuhakikishia mikoa 27 iliyibaki ukitoa Dar ndipo ulipoandikiwa kutoboa
Kumbuka kuteseka sio sifa na hakuna kombe la kuteseka
Ni mtazamo tu
Hata Dar matajiri wanaamka saa 10 ila sio kwa sababu ya shida za usafiriHata Huku Mikoani Wengine Tunaamka Saa Kumi Alfajiri Kumwagilia Mabustani
😀😀 mwendo wa leso na mqjiWenyewe huwaambii kitu kuhusu daslam yao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watavalia wapi vikaptula na soksi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani ni hivi hapa tumefika na hatuondoki
Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi
1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari
2. Unafika kwako saa nne usiku na kuendelea sababu ya changamoto za usafiri
3. Kipato chako kinaishia kwenye kodi na usafiri
4. Unaishi zaidi ya kilomita 40 kutoka eneo lako la kazia
5. Maisha yako ni joto, mbu na kugombania dala dala
6. Muhanga wa mafuriko kila mwaka
Nakuhakikishia mikoa 27 iliyibaki ukitoa Dar ndipo ulipoandikiwa kutoboa
Kumbuka kuteseka sio sifa na hakuna kombe la kuteseka
Ni mtazamo tu
Mateso, umaskini sio sifa kabisa. Yan naunga mkono hoja japokuwa ni rahis kwa mtu asiokuwa na mbele wala nyuma kupata mchongo wa kufanya dar kuliko songea mfano jana nlikuwa sina hela ila ndani nlikuwa na bidhaa fulan za computer nikafungua app ya jiji nikatafuta wanaofanya biashara ya kuuza hizo bidhaaa tukanegoshiate bei nikachagua mwenye bei nzuri nikampelekea akanipa laki tatu zangu leo najua ntaangalia mpira kwa namna nnayotaka mimi, ila kama ingekuwa ruvuma ningepata wapi wateja zaidi ya mmoja ambaye unampigia simu saa nane saa tisa biashara inafanyika ? Mkuu mapambano ni popote ila DAR mwisho wa matatizo, pamoja na mateso yoote wanayopata watu ila wana nyumba wana familia na wanasomesha watoto hadi vyuoni na maisha yanaenda hata ukienda Manhattan kuna watu hawajiwezi ila huwatoi kule....Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi
1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari
2. Unafika kwako saa nne usiku na kuendelea sababu ya changamoto za usafiri
3. Kipato chako kinaishia kwenye kodi na usafiri
4. Unaishi zaidi ya kilomita 40 kutoka eneo lako la kazia
5. Maisha yako ni joto, mbu na kugombania dala dala
6. Muhanga wa mafuriko kila mwaka
Nakuhakikishia mikoa 27 iliyibaki ukitoa Dar ndipo ulipoandikiwa kutoboa
Kumbuka kuteseka sio sifa na hakuna kombe la kuteseka
Ni mtazamo tu