Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani

Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani

Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi

1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari
2. Unafika kwako saa nne usiku na kuendelea sababu ya changamoto za usafiri
3. Kipato chako kinaishia kwenye kodi na usafiri
4. Unaishi zaidi ya kilomita 40 kutoka eneo lako la kazia
5. Maisha yako ni joto, mbu na kugombania dala dala
6. Muhanga wa mafuriko kila mwaka

Nakuhakikishia mikoa 27 iliyibaki ukitoa Dar ndipo ulipoandikiwa kutoboa

Kumbuka kuteseka sio sifa na hakuna kombe la kuteseka

Ni mtazamo tu
Bora ww ni mkweli kabisa
 
Hata Huku Mikoani Wengine Tunaamka Saa Kumi Alfajiri Kumwagilia Mabustani
 
Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi

1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari
2. Unafika kwako saa nne usiku na kuendelea sababu ya changamoto za usafiri
3. Kipato chako kinaishia kwenye kodi na usafiri
4. Unaishi zaidi ya kilomita 40 kutoka eneo lako la kazia
5. Maisha yako ni joto, mbu na kugombania dala dala
6. Muhanga wa mafuriko kila mwaka

Nakuhakikishia mikoa 27 iliyibaki ukitoa Dar ndipo ulipoandikiwa kutoboa

Kumbuka kuteseka sio sifa na hakuna kombe la kuteseka

Ni mtazamo tu
Kwa mwendo huo 3/4 ya watu wa Dar watahama...
 
Kweli kabisa waondoke hapo Dar wakatafute fursa sehemu nyingine
Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi

1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari
2. Unafika kwako saa nne usiku na kuendelea sababu ya changamoto za usafiri
3. Kipato chako kinaishia kwenye kodi na usafiri
4. Unaishi zaidi ya kilomita 40 kutoka eneo lako la kazia
5. Maisha yako ni joto, mbu na kugombania dala dala
6. Muhanga wa mafuriko kila mwaka

Nakuhakikishia mikoa 27 iliyibaki ukitoa Dar ndipo ulipoandikiwa kutoboa

Kumbuka kuteseka sio sifa na hakuna kombe la kuteseka

Ni mtazamo tu
 
Kama unapata changamoto hizi Dar nenda mikoani bado nchi hii ina ardhi kubwa sana tena yenye rutuba na fursa nyingine nyingi

1. Unaamka saa kumi kuwahi Gari
2. Unafika kwako saa nne usiku na kuendelea sababu ya changamoto za usafiri
3. Kipato chako kinaishia kwenye kodi na usafiri
4. Unaishi zaidi ya kilomita 40 kutoka eneo lako la kazia
5. Maisha yako ni joto, mbu na kugombania dala dala
6. Muhanga wa mafuriko kila mwaka

Nakuhakikishia mikoa 27 iliyibaki ukitoa Dar ndipo ulipoandikiwa kutoboa

Kumbuka kuteseka sio sifa na hakuna kombe la kuteseka

Ni mtazamo tu
Mateso, umaskini sio sifa kabisa. Yan naunga mkono hoja japokuwa ni rahis kwa mtu asiokuwa na mbele wala nyuma kupata mchongo wa kufanya dar kuliko songea mfano jana nlikuwa sina hela ila ndani nlikuwa na bidhaa fulan za computer nikafungua app ya jiji nikatafuta wanaofanya biashara ya kuuza hizo bidhaaa tukanegoshiate bei nikachagua mwenye bei nzuri nikampelekea akanipa laki tatu zangu leo najua ntaangalia mpira kwa namna nnayotaka mimi, ila kama ingekuwa ruvuma ningepata wapi wateja zaidi ya mmoja ambaye unampigia simu saa nane saa tisa biashara inafanyika ? Mkuu mapambano ni popote ila DAR mwisho wa matatizo, pamoja na mateso yoote wanayopata watu ila wana nyumba wana familia na wanasomesha watoto hadi vyuoni na maisha yanaenda hata ukienda Manhattan kuna watu hawajiwezi ila huwatoi kule....
 
Ni kweli Dar ni pagumu ila kuna mzunguko mkubwa wa pesa tofauti na huko mbwinde.

Huko mbwinde hayo mazao utayoenda kulima utapata faida ndogo tofauti na ukiwa mtu kati wa mazao hauohayo ukiwa dar .

Mimi na ndgu zangu Poor Brain (huyu harudi kwao mpitimbwi) na Intelligent businessman (huyu hatudi kwao kaborando) hatuondoki dar, hili jua litatuchapa mpaka tutoboe dadeki.
 
Back
Top Bottom