Kama unapenda kucheza Draft huna haja ya kushinda kijiweni tena

Hiyo ni sawa na kucheki UEFA au Ligi kubwa Ulaya ukiwa Sebuleni na Mke wako,haileti msisimko.....
 
raha ya draft sio kusukumiza kete ni zile kauli za shombo za wazee
ndo maana kuna wengne hata hawachez wao wanapiga story tu pale
 
hili draft ni rahisi sana, nimecheza iyo spanish ndo watanzania wengi tunaicheza, nimefika mpaka mpaka Grand master nikampiga mabao 10, ata droo hajatoa. kama lipo jengine lete ila sio hili. hili lina bibonde asa, kazi yao kuumiza kucha tu
 
Kabla ya kupata jibu jiulize kazini simu mzima au mnaacha wazi??
Ukiwa mfanya kazi wangu, kisha unaenda kucheza draft kazini au game ya aina yeyote nakutimua, inaonekana hauta kuwa na inovation yeyote kwenye kazi yako
 
Hilo Mi ndo nacheza now mwaka umeisha,nilikuwa sijui but nilipozoea nikaenda kucheza mtaani nikawa nawafunga sana
 
Draft la kijiweni bhana? Enzi hizo napiga kete jiwe na kujishindia bonge la jogoo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…