Kama unasikia ukilala maskini unaamuka tajiri ndo uku sasa

Kama unasikia ukilala maskini unaamuka tajiri ndo uku sasa

Daah bila kupunguza hizi tozo tutegemee kuona ongezeko la Vichaa.
 
serikali ipige marufuku hzi sprit za buku buku zinawamaliza vijana akili aseee...
 
Jana usiku nilikuwa zangu tu nipo kitandani nimelala
Sasa mimi nilikuwa na exgteytion yangu mkononi
Mara nikasikia baba huyo mwanangu panda bus basi na treiont mimi nikajiuliza hivi huyu mimi au mbona naenda sokoni na wakati ni usiku
Zawadi zile za ghtiobt alikuwa nazo dada yangu uku tukiwa tunapandisha mlima ule
Yeye akasikia anasema si mbuzi yule kafika vipi uku mama akasema achana naye kuna polisi basi tukakaa hapo mapaja jioni mke wa kaka yangu akachukua kuni mbili akaruka juu watu tukacheka haaaaa ni atari sasa yule basi si akafika hapo kuongeya na yule jirani yake sisi tukawa tuna subiri baba afike Tutoke ndani ya nyuma
Yaani nilifurahi saana kweli maisha ni safari fupi

Sent using Jamii Forums mobile app
JF inamaliza mwaka in style. Hii kali .
 
Mama Samia anza kuwekeza kwenye elimu ya awali .
 
Back
Top Bottom