Wakuu salaam.
Ninaunza gari yangu Toyota Harrier model ya mwaka 2001. Vvti injini, CC 2360, rangi yake silver. Gari nimeitumia kwa mwaka mmoja na wiki mbili sasa. Gari ni imara. Nimeitunza vizuri. Haina shida yoyote. Kuna kitu ninataka kufanya ndiyo maana nimeamua niiize. Mimi ndiyo mmiliki wa hii gari.
Bei ni 15 milioni tu.
Dalali unaruhusiwa kuuza kwa bei yoyote ile ilimradi mimi milioni 15 yangu ipatikane.
Karibu wakuu. Location ilipo gari ni Bukoba, Kagera. Karibu umiriki usafiri.
Kwa mawasiliano na picha zaidi napitikana kwa 0716 69 54 65.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaunza gari yangu Toyota Harrier model ya mwaka 2001. Vvti injini, CC 2360, rangi yake silver. Gari nimeitumia kwa mwaka mmoja na wiki mbili sasa. Gari ni imara. Nimeitunza vizuri. Haina shida yoyote. Kuna kitu ninataka kufanya ndiyo maana nimeamua niiize. Mimi ndiyo mmiliki wa hii gari.
Bei ni 15 milioni tu.
Dalali unaruhusiwa kuuza kwa bei yoyote ile ilimradi mimi milioni 15 yangu ipatikane.
Karibu wakuu. Location ilipo gari ni Bukoba, Kagera. Karibu umiriki usafiri.
Kwa mawasiliano na picha zaidi napitikana kwa 0716 69 54 65.
Sent using Jamii Forums mobile app