Kama unatafuta kazi suluhisho lako lipo hapa-ba recruitment agency


asante sana. Ila jamani ndugu zamgu wote mnaotafuta kazi ni muhimu kuwa makini na huko tunakotuma c.v. Wako watu wengine wanazihitaji kwa manufaa yao na si kukutafutia kazi. Haya ni maon yangu tu.
 

duuh!
Jamaa mfukunyuku wewe. Lol!
Hivi mimi natafta kazi, nitapata wapi pesa za kuwalipa.
Kwanini malipo yao wasifanye baada!
 



HIMO ONE,

Tafadhali tunasubiri majibu ya maswali hayo hapo juu kama kweli agency yenu ni ya uhakika.

PIHU'
Je huyu jamaa kakupa information yoyote kati ya hizo ulizomtaka akupe ?
 
Information atatoa wapi? naona yuko kimya!!!

I am still waiting for his reply, mtapeli kama huyo inabidi tumkamate tumchome moto kama mwizi anavyochomwaga moto because he is using people's helplessness to make money........

HIMO nasubiri jibu yako!!!
 
NASHUKURU SANA KWA UTANGULIZI NAOMBA NISEME KUWA SISI TUNAFANYA KAZI KWA KUFUATA SHERIA NA KWA JINSI MIMI NA KAMPUNI YANGU INAVYOAMUA NA SIO KUTOKANA NA MAZOEA NA UTARATIBU WALIOJIWEKEA KAMPUNI NYINGINE HASA UTARATIBU WALIOJIWEKEA WA KUPOKEA RUSHWA ILI WATOE KAZI SISI HATUCHUKUI RUSHWA TUMEWEKA KIWANGO CHA HUDUMA.

NAPENDA KUKUSHUKURU SANA KIPEKEE NDUGU PIHU KWA MATUSI YAKO NA MANENO YAKO YALIYOJAA KENEHI NA DHARAU ,ILA NIKUAMBIE TUU HIYO SIYO DAWA YA SHIDA NA UMASIKINI ULIONAO,HIYO NI PERSEPTION ERROR TUNAITA PROJECTION,KAMA WEWE NI TAPELI ,MWIZI,NA MDOKOZI USINIFIKIRIE MIMI KAMA UFANYAVYO WEWE,FANYA KAZI KWA BIDII UTAFANIKIWA ILA SIO KWA UDHAIFU HUU ULIOONYEHS HAPA.

KAMA TATIZO NI ELFU HAMSINI KWA TAARIFA YAKO SASA HIVI TUMEONGEZA NA SASA NI SHILINGI LAKI MOJA(100,000/=) NA UKIJA NA HIYO ELFU HAMSINI HATUPOKEI HATA CV YAKO NA WALA HATUNA MUDA NA WEWE,TUNA WATANZANIA 800 MPAKA SASA WAMESHALIPA HELA ZAO NA WANASUBIRI HUDUMA YETU,WAPO WATANZANIA 490 WAKO KAZINI SASA NA WANACHAPA KAZI NA FAMILIA ZAO ZINASONGA MBELE KUTOKANA NA KAZI ZA MIKONO YETU,NA KWA TAARIFA YAKO WENGI WAO WAMELIPA LAKI MOJA SIO ELFU HAMSINI.

ACHA WIVU NDUGU,MIMI NI MSOMI NA PAMOJA NA DEGREE ZA KWANZA NA UZAMILI NIMESOMA SHERIA VIZURI NA NINAZIJUA SANA ,SIWEZI KUZIVUNJA NA WALA SIWEZI KUFANYA CHOCHOTE KINYUME NA SHERIA ZA NCHI NA ZA KIMATAIFA,KAMA WEWE UNAFAHAMU MAHALI AU SHERIA YOYOTE INAYONIKATAZA MIMI KUWACHAJI WATEJA WANGU HATA MILLIONI MOJA NIKITAKA BASI UENDE MAHAKAMANI NA MIMI NITAKUA HUKO KUJITETEA KULINGANA NA LESENI YANGU NA REGISTRATION YA BUSINESS YANGU NA HUDUMA YANGU.

NI KWELI KUWA WAAJIRI WANANILIPA ASILIMIA KADHAA KULINGANA NA MSHAHARA WA MWAJIRIWA ILA HII HAININYIMI WALA KUNIKATAZA MIMI KUWEKA GHARAMA KWA WAOMBA KAZI KUTOKANA NA GHARAMA ZA UENDESHAJI NA VIGEZO VINGINE TULIVYOJIWEKEA.

SINA MUDA SANA WA KUJA HAPA NAKUWA BIZE MARA NYINGI KAMA UNAVYOONA NINA WATU WENGI WANANISUBIRI KAMA UNA MAWAZO,MALALAMIKO NA SUMMANS ZA MAHAKAMA UNATAKA KUNISERVE USE OUR COMPANY EMAIL patakazi1981@gmail.com

NDUGU WATANZANIA KAZI ZIPO ILA ,LAZIMA TUSAIDIANE KATIKA HILI NAPENDA KUWATANGAZIA KUWA GHARAMA ZETU ZIMEBADILIKA KUTOKANA NA WINGI WA WATEJA TULIONAO NA BADALA YA SHILINGI ELFU HAMSINI SASA NI SHILINGI LAKI MOJA,KARIBUNI SANA TUSAIDIANE WEWE UPATE AJIRA NA MIMI NIPATE KIPATO.

ENDELEENI KUTUMA CV NA BARUA ZENU ZA MAOMBI patakazi1981@gmail.com
 
ha ha haaa Pihu umenifurahsha,umempa huyu **** ukwel mpaka umemuuma,ukwel unauma!huyu ni jambaz,hatakiw kuchomwa moto,anatakiwa atafutiwe mabaunsa 4 wamuoe kwa usiku 1,hawez akawa anadanganya watz wenye hasira na uhaba wa ajira,hik knjemba kinaniudh,et knajua sheria?we hmo umesoma peke ako sheria?wote 2mesoma ndo mana 2nakuona ww kimba ucyejua hata nn maana ya memorandum/article of association,au mumeo ndo kakufundisha sheria?et watz 800,nyoo unamdanganya nan?
 
No profesional will use Gmail or Yahoo as official email
Why awana website kama Radar? Laki kwa kila kichwa na wanajigamba kuwa tayari wamesaidia zaid ya watu 400? So 400 mara 100000 ni pesa tosha kwao kuwa na website na namba ya simu. Hii ni DECI tu
 
Mr Himo napenda kukutrhibitishia kuwa wewe ni tapeli kabisa kwa sababu zifuatazo:-

  1. Kwanza kitendo cha kushindwa kutetea matumizi ya Tshs 50,000.00 na sasa Tshs 100,000.00 kwa kigezo kuwa hakuna mahali panapokubana ni dalili tosha unatumia advantage vibaya. Hebu fikiria kama utakuwa unapokea CVs 10 -20/day na watu wakawa wanapata kazi kwa rate ya 2 -3/day. Difference hiyo ni wizi na ndiyo ulicholenga. Wa mwanzo wapo verly likely kupata ajira lakini wengine verly likely kubaki majina yao kwenye server yenu tu na nyie kunufaika na michango hiyo ya Tshs 50,000.00- 100,000.00
  2. Ukiwa kama wewe ni mzoefu ulikuwa unafahamu mahitaji ya msingi ya uanzishaji wa kampuni yako ikiwa ni pamoja na website ambayo ingekuwa ni rahisi kutangaza na watu waliotuma CVs kupunguza muda wa kupiga simu kwani ingekuwa ni rahisi sana kuvisit website yenu na kupata all needed information. Nikilinganisha gharama ya kutengeneza website na kuanza kuoperate siyo kubwa kuliko mapato mnayoyapata hivyo kuweka shaka ya kwa nini hamtaki kuweka website yenu? Hii ni ukweli kuwa kila kampuni huwa na vitendea kazi muhimu kwenu hicho ni kitendea kazi muhimu.
Na hivi ninavyosema nitawasiliana na vyombo husika ili muanze kufanyiwa kazi kwa kuwa muda si mrefu kuna watanzania watalia kwa utapeli wenu.
Mwisho, ma graduate ni tuwe makini na haya makampuni mapya, unaweza kuona Tshs 50,000.00 - 100,000.00 siyo nyingi lakini ni nyingi sana, tusinufaishe watu huku tunajua tunawanufaisha. Tusi act like fools.
 
Tapeli wa kutupwa huyu sijawahi me kuona!wanaojua sheria hebu dadafueni vzr hii habari ya huyu jamaa me kitaaluma nimesoma market and business adm lkn naona kbs hy jamaa ni mwizi wa kutupwa tumeona recruitment company kubwa km Radar,Erolink na mengine hawana desturi kama yako!kwa mtanzania anaetafuta ajira tena akulipe ww 50,000 kaka umechemsho!unajitetea kwa lugha za mipashooooo ahaaaa tumechoka sasa!mwisho wenu umefika sasa mnataka kuchakachua na huku we are great theanker baba!
 
ujue nimechoka mwili roho na nafsi ila walau wangefanya hivi ukipata hiyo kazi ndio uwape duuu hii kali lol
 
bwana hapa hatupo kuibiana wala kukomoana wewe kwenba zako kwa kifupi hatutaki hiyo kazi hao walio kupa hizo laki moja duuuuu ni wenzio hatudanganyiki ngooooooooooooooooooooooooooooooooooooo hiloooo
 
Hata mie nashangaa,utadhan hr wa benk moja maarufu anakaz ya kupokea 1m za watu kazi hatoi,utadhani yeye ndo mwenye benki
 
Hivi wewe unayetaka hizo 50,000/ nataka nikuulize; hizi kazi ni zako tht u r assuring us ( job seekers ) wakitoa 50,000/ wanapata kazi!!!

Unatufanya mjinga ehhh? kazi hutoi wewe then how can u assure us tukikupa 50,000/ tutapata kazi??

shenzi typu weh!!! unataka kuwaibia wasiokuwa na kitu.....hivi eti maiti anaombwa msaada?
 


NASHUKURU NDUGU PIHU KWA LUGHA YA KISOMI ULIYOONYESHA HAPA ,KWELI WEWE NI MSOMI WA HALI YA JUU KABISA HONGERA.
KAMA UNATAKA KAZI JARIBU UONE ,TUMA CV ZAKO patakazi1981@gmail.com, LIPA LAKI MOJA,UONE KAMA UTAPATA KAZI AU LA
 

AHSANTE NDUGU LAUTI,ILA UMASIKINI WAKO NDIO UNAOKUFANYA USHINDWE HATA KWENDA SHULE KULIPA ADA NA KUJIFUNZA USTAARABU.

TUMA CV YAKO HAPA patakazi1981@gmail.com NA TUTAKUPATIA KAZI NZURI KESHO BILA MALIPO WEWE TUTAKUPA KAZI BURE KABISA ILI UPATE MSHAHARA MZURI UENDE SHULE UKAVUE GAMBA LA UJINGA LILILOKUTANDA,KARIBU SANA NDUGU LAUTI,HII DUNIA NI YA WAJANJA NA WAJANA NI WASOMI NA WASOMI NI WALE WANAOKULA KUTOKANA NA KAZI ZA MIKONO YAO

""only the wise men can play tha melody of life""


 

MZEE WA RULA ,RULA YAKO IMEPINDA INAPIGA MISTARI VIBAYA,KAANZE UPYA,MTU MZIMA HUWEZI HATA KUFIKIRI VIZURI,UNAFIKIRI NYAU ANATISHIWA MTOTO AU MTU MZIMA??

TUMA CV YAKO HAPA patakazi1981@gmail.com TUKUTAFUTIE KAZI ILI UWEZE KUFUNGUKA NA UACHE KUWAZA KAMA TONDO
 


AHSANTE SANA UNA MANENO MAZURI ILA UJINGA WAKO UNASOMWA KWENYE ULIMI WAKO,TAFUTA COZ UKASOME AISEE HATA YA COMPUTER UTAPATA KAZI NZURI KULIKO HIYO YA SASA

pole sana ndugu MATOPE,ITAKUWA UMEZAMA SASA TOPENI,ITAKUCHUKUA MUDA KUTOKA HUMO.
 
No profesional will use Gmail or Yahoo as official email
Why awana website kama Radar? Laki kwa kila kichwa na wanajigamba kuwa tayari wamesaidia zaid ya watu 400? So 400 mara 100000 ni pesa tosha kwao kuwa na website na namba ya simu. Hii ni DECI tu

HUWEZI KUNILAZIMISHA KUW NA WEBSITE,KAMA NAWEZA KUTENGENEZA HELA ZA KUNITOSHA KUTOKANA NA EMAIL YA BURE YA gmail au yahoo,KWA NINI NIFUNGUE WEBSITE NA BLAA BLAA ZINGINE,SINA MUDA NA SINA HELA ZA KUPOTEZA NINA HELA ZA KUTUMIA

USHAURI WAKO HAUNIFAI SIISHI KAMA MTAKAVYO NAISHI KAMA MIMI,MKE WANGU NA WATOTO WANGU WATAKAVYO
 
Mtu anatafuta kazi halafu unamuambia alipie?????? Hii inakatisha tamaa kabisa, sasa hizo hela za kulipia anazitoa wapi? aibe? huu ni utapeli na huenda hii ni bahati nasibu ya kiaina fulani kama mko makini tangazeni kwenye vyombo vya habari vyote na kutoa contact zenu
 
kwenda zako uko wewe ni tapeli na vyombo husika lazima vikufuatilie uwezi kutoza watu 50000 wakati hapo hapo anayeleta cv yake anakosa hata pesa ya kutengenezea cv alafu bila aibu unasema kwa sababu watu wameongezeka na ghalama imepanda ni laki sasa ah ah aha hv akili yko iko sawa? Acha utapeli mwingine usio kuwa na maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…