Kama unatafuta kazi suluhisho lako lipo hapa-ba recruitment agency

mimi wamenitumia form ya kujaza ndio nahangaika nayo hapa niwarudishie ila kuna fees ya kama 50,000/= na asilimia ishirini ya mshahara sasa hii haieleweki kidogo kama hawa jamaa wapo hapa watueleweshe haya malipo yakoje?

ACHANA NAYO FASTA, huo utapeli! hakuna AGENCY wanayomtoza pesa mtu anaetafuta kazi, wao wanapata pesa kutoka kwa wanaoajiri sio wanaoajiriwa, hiyo mode ya kizembe, achana nayo, we ona tu hata email yao wanatumia blabla@[SIZE=3][B]GMAIL.COM[/B][/SIZE], are the serious? mtaibiwa, ACHANENI NAYO!
 

mmh!mh! Bongo hii??? Au.... Uzoefu wenu mna uwezo kuwatafutia watu wangapi kwa mwaka? Isije ikawa kama kaDESI.....
 

Eeeh!mi na ww nan mjinga?ha ha haaa,we unatakiwa hospital vichaa ya milembe,sio bure!ww c mwanaume kamil itakuwa umeachwa na bwana ako alokuwa anakupa hela za matumiz ndo maana unatafta hela kwa njia za utapel,tena utapel knyes!elimu ulosoma haijakuassist,kwa sababu wa2 wenye upeo na wenye elimu wanajua rules na regulations za kuanzsha recruitment agency,hasa ktk nyanja za ku-waassure customers wao true&fair ya kaz waifanyayo,sio ww mpuuz uloona humu Jf wote wajinga ukapost u2mbo wako uloshauriana na kile kibwana chako cha pili baada ya kuachwa na wa 1.OKEY,nataka nikusaidie wewe mbumbumbu wa sheria,nenda ktk any recruitment agency kafanye research hata ikiwezekana kutana na CEO wao muulize walifanyaje mpaka wakafka walipo,then ndo ujipange upya!hii elimu ni bure,sitoz hela coz najua umefulia mbaya ndo maana unahanya kufanya utapeli!ha ha haaa kweli nyan haon ***,utaendelea kuwa maskn ka hutumii akil na kuomba msaada wa mawazo hapa jf ka unaanzsha kitu!yote kwa yote nakutakia maisha mapya na huyo mchuchu mpya!have ma kiss shostito,mwaaaah
 
Himo acha kamba za mchana kweupe, wewe mwenyewe ndio umejifanya umelipa na umeitwa ili kesho utupate vizuri poa naona umejipatia ajira ya nguvu watu 290 x 50,000=14,500,000 wawaaa
 

kumbe suluhisho la ukosefu wa ajira ni recruitment agency? Ukomboz gan mnaouzungumzia? Mbwembwe za kijinga hizo
 

Ni kampuni mpya, still unasema una uzoefu na shughuli hii....???????
Utawapata wengi kwa kweli, just keep on!
 

NASHUKURU SANA NDUGU LAUTI,ILA MATUSI YAKO NI YA KIZAMANI SANA NIMEYASIKIA SIKU NYINGI SANA HUNA MATUSI MAPYA HIVI UKATUKANA?TUKANA MATUSI YA KISASA HAYA HAYANA MVUTO SANA.

UMEZOEA MABWANA EEEH,MIMI SINA ILA KAMA UNAHITAJI BWANA WAPO WENGI WANAOPENDA WANAUWAKE KAMA WEWE MIMI SIPENDI.

NASHUKURU KWA USHAURI WAKO ILA KAWAULIZE HAO RECRUITMENTS CEO WOTE KAMA WANAIJUA BA RA WATAKUAMBIA MIMI NI NANI NA NANI ALIEWAFUNDISHA KAZI HAPA MJINI.

UMASIKINI WAKO NA SHIDA ULIZONAZO NDIO ZINAENDELEA KUKUWEKA HAPO ULIPO,UMASIKINI,MATUSI,SHIDA,USHOGA NA MENGINE.
POLE SANA.

wewe sema sisi TUNATENDA.
 
Je hiyo gharama inalipwa baada ya mhitaji kazi kupata kazi au inalipwa ktk stage gani?
 
hee!kumbe umezoea matusi mpaka unayaona ya kizaman?kweli wewe ni mjinga wa kufikir ndo mana unatukanwa tukanwa ovyo mpaka unataka matusi mapya,yah mi ni shoga ako coz ni msichana,ukitaka vikuku,kaloraiti ntakugea coz jamaa(shost/shoga)yangu unaonekana umefulia mbaya yani,afu nimemis hinya yako!anyways...hii itakuwa last post kwny thread yako coz ukimtukana mjinga utaonekana **** zaidi,afu nimegundua sio wa type yangu kujibizana na wewe,unaonekana ni bonge la mbwiga yan,afu mtoto whiiiite teh!ila ka utataka pamba,cosmetics ukamvalie mumeo,ntakugea tu,sina choyo mie mtoto wa mzigua mie!afu kuna kijamaa kinatafta wa2 wenye dhik,shida,mateso na upeo mdogo wa akil awa finance,ila unampa line yako ya tigo(hopeful umenisoma),haya zezeta/mbumbumbu/shoga yangu bye bye,hutaniona tena kwny thread yako!
 
Naona kazi imepata wenyewe, sijui ndo shule hzo, au ndo utajiri, maana naona umaskini na matusi, kweli kabisa kwa watu ambao wako kikazi blablaa@gmail.com, ya kila mtu au wanatafuta pesa ndo waanzishe hyo Agency, kazi kuelimika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…