Kama unataka high speed downloads

Kama unataka high speed downloads

"Pasco_jr_ngumi" "MWANDISHI AMEOZA KICHWA? Mbona haelezi namna ya kununua hzo 400mb za airtel? "

Acha lugha za kwenye blog za kishenzi, Grow up !!
 
Nina unlocked modem Huawei yenye download speed inayofika 7.2Mbps. ofkoz mitandao yetu haifikishi download sleed hiyo. Sanasana kunabaadhi ya sehemu (mijini) Vodacom / AirTel watafikisha 1.7Mbps HSDPA ( High-Speed Downlink Packet Access ) Hii haina tofauti na ile modem ya ttcl wanayotumia kwenye landline ADSL (Asymmetric Digital Subscriber Line), Ni kweli kuwa kila mtu anatumia internet kwa shughuli tofauti. Yupo anaesoma tu emails, mpaka anae download DiVx Movies na kadhalika tatizo linakuja kwenye coverage ambayo unaweza pata hiyooo HSDPA. Kama hakuna signal za HSDPA basi utapata GPRS signals 10kbps ikipanda saana ni 30kbps ambazo download speed au hata kufungua internet page ni slow sana. kunawakati inashuka below 10kbps. epuka kitu inaitwa unlimited ndio hii speed utapewa Ni bora uwe na weak signal strength za HSDPA kuliko kuwa na full signal strength za GPRS. Ninachotaka kueleza hapa ni kuwa HSDPA coverage iwe ni Vodacom au AirTel inategemeana na sehemu ulipo. Na ukipata weak signa za HSDPA then jibane hapohapo kwa kufuata utaratibu huu (mobile partner dashboard) nenda kwenye: Tools:> Options:> , Network:> kwenye Network type chagua "WCDMA only" ili isiruke kwenda high signals za GPRS. Kama Modem yako ni unlocked, basi unaweza kuwa na line mbili ya Vodacom na AirTel na kama iko locked basi fuata hii link ili upate free unlock codes
https://www.jamiiforums.com/technology-and-science-forum/86955-free-huawei-modem-unlocking-codes-request.html
halafu unachagua data plan kulingana na mahitaji yako.
Airtel wao wanakupa
400mb kwa shilingi 2500/- na ni speed ya HSDPA.( ina expire baada mwezi )
15Gb kwa shilingi 15000/- na ni speed ya HSDPA. (ina expire baada ya wiki)

Vodacom wanakupa
50mb kwa shilingi 2000/- na ni speed ya HSDPA (ina expire baada ya mwezi)
3Gb kwa shilingi 90,000/- na ni speed ya HSDPA (ina expire baada ya miezi 3)

Zipo plan nyingi tu ila epuka kitu UNLIMITED.

CP japo sijakusoma sawasawa ila nna swali kwako, mi nna TTCL mobile partner lakini nataka ku-unlock ili iweze beba kadi yoyote ya CDMA, nifanyeje?
 
Niko na ya voda apa kila mwezi wananila kilo for 3GB ila speed hawako juu kiivyo naona kuna haja ya kujiunga zantel
 
Niko na ya voda apa kila mwezi wananila kilo for 3GB ila speed hawako juu kiivyo naona kuna haja ya kujiunga zantel

Dah! Pole na maumivu Mkuu, Zantel 2Gb/weekly kwa 10,000/= hapa nahisi kuna nafuu kidogo.
 
Dah! Pole na maumivu Mkuu, Zantel 2Gb/weekly kwa 10,000/= hapa nahisi kuna nafuu kidogo.
Airtel
Airtel 3gb ni 15,000/= weekly. Tatizo mkijiunga wengu huku du nafkiri speed inaweza ikaja kushuka kama zantel. speed ya airtel ni nzuri maybe vile wateja si wengi sana. ila so far ni wazuri sana. voda ni wazuri pia ila gharama zao zinahitaji marekebisho. kunawajanja wananunua modem za zain kutoka kenya na wanakuja kuuza huku tz. kenya wao wanauza sh ksh 1600/= ambayo nia sh Tsh 28,800/= lakini zain ya hapa kwetu bei ni sh 60,000/= najiuliza kitu ni kilekile kampuni ni ileile lakini bei huku iko juu sana whyyyyyyyyyyy.
 
Hiyo nenda kwenye sehemu ya kutuma ujumbe mfupi kwenyw simu yako halafu andika neno "INTERNET" tuma kwenda 15444.
NB:-usiweke hizo funga na fungua semi kwenye neno internet.
 
utafiti unaonyesha ni asilimia 7 tu ya watanzania ndio wanatumia internet, wakati wenzetu kenya, uganda na rwanda wapo ktk asilimia 22, ila watz tunaongoza ktk ukanda huu kwa matumizi ya simu, labda huo mkonga utaleta unafuu wa hizi garama na kasi, tungoje tuone.
 
Gharama za matumizi ya internet Kenya iko juu ukilinganisha na hapa kwetu. Ninachosema mimi ni kuwa wao wanaunafuu wa kununua hiyo device yaani modem. mkonga utaleta nafuu kwenye garama za matumizi tu na si kwenye manunuzi ya device.
 
Airtel
Airtel 3gb ni 15,000/= weekly. Tatizo mkijiunga wengu huku du nafkiri speed inaweza ikaja kushuka kama zantel. speed ya airtel ni nzuri maybe vile wateja si wengi sana. ila so far ni wazuri sana. voda ni wazuri pia ila gharama zao zinahitaji marekebisho. kunawajanja wananunua modem za zain kutoka kenya na wanakuja kuuza huku tz. kenya wao wanauza sh ksh 1600/= ambayo nia sh Tsh 28,800/= lakini zain ya hapa kwetu bei ni sh 60,000/= najiuliza kitu ni kilekile kampuni ni ileile lakini bei huku iko juu sana whyyyyyyyyyyy.
Wee acha uchoyo
Wote twaja huko huko bei yao ni nafuu
 
Kuna IC inaitwa lm317 ni voltage stabilizer are you the manufacture?
 
Nina unlocked modem Huawei yenye download speed inayofika 7.2Mbps. ofkoz mitandao yetu haifikishi download sleed hiyo. Sanasana kunabaadhi ya sehemu (mijini) Vodacom / AirTel watafikisha 1.7Mbps HSDPA ( High-Speed Downlink Packet Access ) Hii haina tofauti na ile modem ya ttcl wanayotumia kwenye landline ADSL (Asymmetric Digital Subscriber Line), Ni kweli kuwa kila mtu anatumia internet kwa shughuli tofauti. Yupo anaesoma tu emails, mpaka anae download DiVx Movies na kadhalika tatizo linakuja kwenye coverage ambayo unaweza pata hiyooo HSDPA. Kama hakuna signal za HSDPA basi utapata GPRS signals 10kbps ikipanda saana ni 30kbps ambazo download speed au hata kufungua internet page ni slow sana. kunawakati inashuka below 10kbps. epuka kitu inaitwa unlimited ndio hii speed utapewa Ni bora uwe na weak signal strength za HSDPA kuliko kuwa na full signal strength za GPRS. Ninachotaka kueleza hapa ni kuwa HSDPA coverage iwe ni Vodacom au AirTel inategemeana na sehemu ulipo. Na ukipata weak signa za HSDPA then jibane hapohapo kwa kufuata utaratibu huu (mobile partner dashboard) nenda kwenye: Tools:> Options:> , Network:> kwenye Network type chagua "WCDMA only" ili isiruke kwenda high signals za GPRS. Kama Modem yako ni unlocked, basi unaweza kuwa na line mbili ya Vodacom na AirTel na kama iko locked basi fuata hii link ili upate free unlock codes
https://www.jamiiforums.com/technology-and-science-forum/86955-free-huawei-modem-unlocking-codes-request.html
halafu unachagua data plan kulingana na mahitaji yako.
Airtel wao wanakupa
400mb kwa shilingi 2500/- na ni speed ya HSDPA.( ina expire baada mwezi )
15Gb kwa shilingi 15000/- na ni speed ya HSDPA. (ina expire baada ya wiki)

Vodacom wanakupa
50mb kwa shilingi 2000/- na ni speed ya HSDPA (ina expire baada ya mwezi)
3Gb kwa shilingi 90,000/- na ni speed ya HSDPA (ina expire baada ya miezi 3)

Zipo plan nyingi tu ila epuka kitu UNLIMITED.

Calvin naomba msaada kidogo natumia modem ambayo tayari nisha unlock kwa kufuata maelezo uliyonipa but still window ni ya zain tho naweza tumia laini yoyote, the problem comes, nikitaka fata procedures ulizoweka za kwenda kwenye tools>option>network type thea nafika but kwenye selection hapako active.. naomba msaada kidogo broo
 
Calvin naomba msaada kidogo natumia modem ambayo tayari nisha unlock kwa kufuata maelezo uliyonipa but still window ni ya zain tho naweza tumia laini yoyote, the problem comes, nikitaka fata procedures ulizoweka za kwenda kwenye tools>option>network type thea nafika but kwenye selection hapako active.. naomba msaada kidogo broo

haiwezi kuwa active kwasababu uko connected. press disconnect halafu nenda kwenye tools>>>> utakuta pako active
 
zantel unajiungaje na 250mb per month?
Pascoe Sikupenda lugha ya matusi uliyoitumia, lakini unaweza kununua hizo MB400 za airtel kwa kutuma msg yenye Neno: INTERNET kwenda Na: 15444 kwa kutumia Modem yako au kwa kuiweka line unayokusudia kujaza hizo MBs kwenye simu ya kiganjani, kisha ukaitoa na kuiweka kwenyemodem yako na kuitumia.
 
Back
Top Bottom