RIGHT MARKER
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 129
- 473
Kama unataka kulala njaa tegemea pesa ambayo ipo kwenye mfuko wa mtu mwingine.
Usiache jua lizame kwa kuendelea kusubiri hela ambayo umeahidiwa kupitia kauli zifuatazo;
(a) "Usijali leo uhakika nitakutumia baadae"😃
(b) "Nipo somewhere hakuna huduma ya pesa, nikirudi nitakutumia"😃
(c) "Nitumie namba yako ili baadae nikutumie".😃
(d) "Kuna mishe naisikilizia ikitiki nakutumia fasta".😃
(e) "Nipo kwenye kikao/msibani/darasani/mpirani/kanisani/, nikitoka nitakutumia".😃
Pesa yako ni ile ambayo ipo kwenye mfuko wako. Lakini pesa ambayo ipo kwenye mfuko wa mwenzako hata kama ulimwambia akushikie au ulimkopesha, hiyo si pesa yako na ukiitegemea ikulishe hakika utalala njaa.
RIGHT MARKER
Dar es salaam
Usiache jua lizame kwa kuendelea kusubiri hela ambayo umeahidiwa kupitia kauli zifuatazo;
(a) "Usijali leo uhakika nitakutumia baadae"😃
(b) "Nipo somewhere hakuna huduma ya pesa, nikirudi nitakutumia"😃
(c) "Nitumie namba yako ili baadae nikutumie".😃
(d) "Kuna mishe naisikilizia ikitiki nakutumia fasta".😃
(e) "Nipo kwenye kikao/msibani/darasani/mpirani/kanisani/, nikitoka nitakutumia".😃
Pesa yako ni ile ambayo ipo kwenye mfuko wako. Lakini pesa ambayo ipo kwenye mfuko wa mwenzako hata kama ulimwambia akushikie au ulimkopesha, hiyo si pesa yako na ukiitegemea ikulishe hakika utalala njaa.
RIGHT MARKER
Dar es salaam