Kama unataka kuoa single maza pitia hapa

Nlimpigia simu bibi mzaa mama nkamwambia kua nataka kuowa single M



Baada ya kama saa moja alikuja na mkeka huo[emoji119][emoji119]
Yale maelezo yalikua yanakabia juu
Chini
Kulia na katikati
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni kwel kabisa mkuu,yaliwah nikuta ndugu zang wa kike walinishangaa sana,
 
Tofauti ya single maza na mwanamke asiyezaa ni kuwa,
Single maza anauzoefu wa kutendwa na kuachwa hivyo anaheshimu na kutukuza ndoa kwa bidii zote tofauti na upande mwingine..
Na pia single maza anauzoefu wa kuachwa na kuishi mwenyewe hivyo haoni shida kuivuruga ndoa mpya ili aishinpeke yake tena kama mwanzo
 
This sounds a little bit personal. Single mothers walikukosea nini mkuu? Ulishaumizwa na single mother au hizi ni chuki tu za kawaida?

Mbona wapo wengi tu wanaojitambua na wanaojua mipaka yao katika mahusiano mapya? Mbona wote mnawarundika kwenye fungu moja kama vile wana personality moja?

Wengine masikini walifanya makosa wakiwa bado hawajajitambua huko mashuleni na vyuoni. Na leo hii wanabebeshhwa mzigo wa kudumu wa umalaya. Je, waliowazalisha na kuwatelekeza je? Jamii ya ajabu sana hii wallahi!
 
Kupigwa pipe kuzalishwa na kuachika huo ni uzoefu wa umalaya hauna uhusiano na kuwa mke bora

Mwanamke wa aina hiyo sio wa kufanya naye maisha kabisa
Nina single mother aliniambia matatizo mengi ya mumewe mpaka kuna wakati naona anamtukana sana kwa issue ya malezi ya watoto aliyeachana nae cha ajabu akaenda kumpa uchi hapa ndipo nilipochoka kwakweli ila nipo nae kwasababu ana k tamu sana
 
Binafsi single mother mwenye mtoto wa kike naweka ndani vizuri tu wanateseka hata wale waliotoa bikra wenyewe my decision is final!
 
Nina single mother aliniambia matatizo mengi ya mumewe mpaka kuna wakati naona anamtukana sana kwa issue ya malezi ya watoto aliyeachana nae cha ajabu akaenda kumpa uchi hapa ndipo nilipochoka kwakweli ila nipo nae kwasababu ana k tamu sana
Umeona mkuu

Kufanya maisha au kuoa single maza ni sawa na kununua kiwanja chenye mgogoro
 
Sijui kwanini hili swala la kuwananga single mother linakua hivi, Humu humu kuna wanaume wamewatia mimba wasichana wa watu na kuwatelekeza+kukana mimba, then after huyo huyo mtu ndo yuko mstari wa mbele kuwasema Single Mother.
Mkuu mfilisti,

Chanzo cha singo mama ni WANAUME.

Matatizo yote duniani kuanzia uhusiano, uchumi, jamii yanasababishwa na sisi wanaume kwa asilimia 95.

Na tunaujua huu ukweli.
 
Loading failed tulishawahi kuwa na mjadala nyuma akanikimbiaga rafiki yangu huyu.

Vipi lakini kaka harakati za maisha zinasemaje? Sikuhizi nafikiri upo busy sana sioni nyuzi zako mara kwa mara.
 
Wanaoolewa wengi ni masingle mother tena kwa mahari za juu mno. Mungu akikubali lake hakuna mbusi itapinga. Miaka nenda rudi mada zinaanzishwa humu af nyinyi nyinyi mnasalitiana. I use to think people mean what they write humu lakin siku nilipogunduaga mkataa ndoa flan maarufu humu ana familia yake tena amejiestablish kweli kweli na sio level zetu nikasema asalaleeeee pipo are pipo. Tembo anakunywa maji despite kelele hizi...it is what it is.....

Samaleko
 
Uko sahihi

Single maza ni just for fun piga sepa ila sio wa kumweka ndani kama mke
Ananipiga matukio acha tu sema najikaza tu alafu yupo really ameniambia nilikuchiti kwa bahati mbaya alafu ananiomba msamaha kingine kinachonifanya niwe nawe mpaka sasa hanikamui mtonyo ataniomba pale anapokuwa na shida, kunipenda ananipenda tena sana ila kwasababu ya shida zake kuwa nyingi kuna wakati ananisaliti kwaajili ya pesa ana watoto 3 namimi nikajitoa sana kwake wakati ninajua sina future nae
 
Kama mtu anafika mpaka chuo na anakuwa bado hajajitambua basi huyo hawezi kujitambua milele, mtoto wa darasa la saba tu anajua madhara na matokeo ya ngono zembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…