Kama unataka kuoa single maza pitia hapa

Kama unataka kuoa single maza pitia hapa

This sounds a little bit personal. Single mothers walikukosea nini mkuu? Ulishaumizwa na single mother au hizi ni chuki tu za kawaida?

Mbona wapo wengi tu wanaojitambua na wanaojua mipaka yao katika mahusiano mapya? Mbona wote mnawarundika kwenye fungu moja kama vile wana personality moja?

Wengine masikini walifanya makosa wakiwa bado hawajajitambua huko mashuleni na vyuoni. Na leo hii wanabebeshhwa mzigo wa kudumu wa umalaya. Je, waliowazalisha na kuwatelekeza je? Jamii ya ajabu sana hii wallahi!
Palipo na wazee ...
 
This sounds a little bit personal. Single mothers walikukosea nini mkuu? Ulishaumizwa na single mother au hizi ni chuki tu za kawaida?

Mbona wapo wengi tu wanaojitambua na wanaojua mipaka yao katika mahusiano mapya? Mbona wote mnawarundika kwenye fungu moja kama vile wana personality moja?

Wengine masikini walifanya makosa wakiwa bado hawajajitambua huko mashuleni na vyuoni. Na leo hii wanabebeshhwa mzigo wa kudumu wa umalaya. Je, waliowazalisha na kuwatelekeza je? Jamii ya ajabu sana hii wallahi!
Mzee wa Kupambania anaonekana anauzoefu wa kutosha,
Huenda labda na yeye ni single maza tusimpinge.
 
Ndugu zangu salaam

Tulisha ongea na kuandika sana kuhusu single maza na maoni yalitolewa mengi sana ,ila kuna watu hawataki kusikia kabisa sasa jibu rahisi kama unataka kuoa single maza ( mwanamke aliye zaa na mwanaume mwezio ambaye yupo hai) fanya hivi.

1: Nenda kijijini kwenu muulize bibi yako ( mama mzaa baba ) kama yupo hai , mwambie kabisa nataka kuoa single maza tena mfafanulie kwa kina ili akuelewe mwambie ni mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine na mwanaume wake yupo hai ikibidi watajie mpaka koo anazotoka huyo mwanamke

2: Kama bibi yako upande wa baba hayupo hai waulize dada zake na baba yao watakupa majibu

3: Kama wote hawapo hai waulize dada zako mliozaliwa tumbo moja na kwa baba mmoja waambie kabisa nataka kuoa single maza .

Wasikilize kwa makini ,usilete ujuaji wala kutetea hoja na majibu watakayokupa hakikisha unayafanyia kazi kisawasawa. Maana sisi huku Jf tumesema sana hamtaki kusikia

Nawatakia kilala heri
Kuna kazi kwakweli ya kutuliza moyo, kwanza akiondoka tu nyumbani zaidi ya saa moja tayari wasiwasi, mda wote unahisi tu unagongewa na baba mtoto
 
But fine I will take your comment as a challenge though my decision remain the same
A single mother with a baby girl no problem In my perspective
After whoring around in her prime, after becoming a baby mama and losing value in the dating market

A finished man like you willing to save them off the streets after being a bed to bed midfielder in their prime

Foolish man with misplaced priority
 
But fine I will take your comment as a challenge though my decision remain the same
A single mother with a baby girl no problem In my perspective
After whoring around in her prime, after becoming a baby mama and losing value in the dating market

A finished man like you willing to save them off the streets after being a bed to bed midfielder in their prime

Foolish man with misplaced priority
 
After whoring around in her prime, after becoming a baby mama and losing value in the dating market

A finished man like you willing to save them off the streets after being a bed to bed midfielder in their prime

Foolish man with misplaced priority
After aborting all around a damn dumb man like you will pick up that flat tummy girl and consider him a lucky ass man
 
Mimi hapa kwetu wapo wawili mmoja naishi naye,wakati anatoka kwa mme wake anadai ile familia ni wachawi.
Nimekaa naye miezi mitano ila jamani kuna wanawake nyie.Mungu si athumani naona kuna kijana analeta posa mwezi july nami nimesema karibu sana kijana.Mwezi july naozesha jamani.
 
Ni bora kubaki single kuliko kulea bao la mwanaume/wanaume wenzako

Siku ukiwa unaoa nenda kamwambie mama au dada zako unaoa single maza watasikitika na kukushangaa sana

Hata kama mama yako alikulea akiwa single maza hakuna siku atakuuunga mkono uoe single maza mwenzake anaweza akalia sana

Ndio ujue wanawake wanajuana

Mungu naye akiwa mbinguni anakushangaa na kukuona mjinga, amemuagiza mwanaume aanzishe familia yake wewe unaenda kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako!

Imagine siku umemuoa single maza halafu unawatembelea wazazi wako ukiwa na watoto wa mwanaume mwenzako. Then unawaambia watoto wa mwanaume mwenzako msalimie bibi na babu yenu. Lazima baba yako na mama yako wakuone mpumbavu na mjinga, a useless son.

Ni mwanaume mpumbavu tu ndiye anayeoa single maza.

Learn or perish
Kuna member hapo juu kasema vizuri sana. Kila mtu ashike analoona litamfaa. Oa yeyote. bikra, single mumy, ajuza au hata kuacha, acha tu.

Familia moja kijana alitangaza kuoa single mumy. Mama mzazi nusuru azimie kwa kilio kupinga kijana wake kuoa single mother. Kijana akisimamia msimamo wake na alioa.

Baadhi ya ndugu walimtenga kijana kiaina. Wazazi wa kijana hawakuwa na upendo kwa mke wa kijana wao. Waliishi nae basi tu ashaolewa na mtoto wao.

Kijana wa pili alitangza kuoa binti ambaye alianzisha yeye binti akiwa sekondari. Sifa zikawa sifa kwa kijana kuleta chombo kipya. Akapendwa kijana na mkewe. Wakafanywa kuwa watoto wenye hekima na ndoa ya mfano.

Siku hazikuganda. Kaka na mkewe waliokuwa hawaishi pale kijijini walijaliwa kupata mtoto. Lakini hakuthaminiwa sana. Lakini hakujali, walimlea mtoto wao pamoja na yule wa kufikia kwa upendo wote. Maisha yao yakawa ya amani ndani na nje. Heshima na upendo kati yao vikawa nyota angavu..

Kwa upande wa mdogo, baada ya muda kukawa mushkeli kidogo. Baada ya kupata mtoto wa kwanza vizuri, mke alianzisha mchezo mchafu. Mara alibeba mimba nje ya ndoa. Akaona ataumbuka. Akaamua kuitoa mimba. Mambo yalipokuwa magumu, alipelekwa hospitali. Kama kawaida ya manesi, walimbana aseme ukweli. Akasema katoa mimba na sababu ni kuwa haikuwa ya mumewe. Ile ndoa kwa sasa kauli ya mwisho bila kujali ubora, msemaji ni mke. Kijana kawa poyoyo kiasi kwamba mke alale asilale nyumbani, mume haruhusiwi kuhoji.

Naunga mkono jamaa aliyesema kila mmoja afanye analoona linafaa. Ukipata chema asante Mungu, ukipata koroma bahati mbaya.

Jioni njema member wote.
 
After aborting all around a damn dumb man like you will pick up that flat tummy girl and consider him a lucky ass man
Imagine referring to another man's baby mama, as your soul mate. Pussy truly is a dangerous drug!

Baby mamas are for losers. No man with any self respect would commit to a baby mama. It never goes beyond sex, of which the sex isn't even encouraged

No normal man has ever woken up at 6am and said I’ve always dreamt of being a step dad. Never!
 
masikini walifanya makosa wakiwa bado hawajajitambua huko mashuleni na vyuoni. Na leo hii wanabebeshhwa mzigo wa kudumu wa umalaya. Je, waliowazalisha na kuwatelekeza je? Jamii ya ajabu sana hii wallahi
Mpaka afike chuoni hajajitambua kweli au sekondari?

Single maza ni mwanamke mjinga sana:

●KWANZA, alikubali kutiwa mimba na mwanaume ambaye sio mume wake

●PILI, ujinga mwingine wa single maza ni kumchagua irresponsible man (mwanaume ambaye hayuko tayari kutimiza majukumu yake) amtie mimba

Nani wa kulaumiwa kama hakubakwa?
 
Ndugu zangu salaam

Tulisha ongea na kuandika sana kuhusu single maza na maoni yalitolewa mengi sana ,ila kuna watu hawataki kusikia kabisa sasa jibu rahisi kama unataka kuoa single maza ( mwanamke aliye zaa na mwanaume mwezio ambaye yupo hai) fanya hivi.

1: Nenda kijijini kwenu muulize bibi yako ( mama mzaa baba ) kama yupo hai , mwambie kabisa nataka kuoa single maza tena mfafanulie kwa kina ili akuelewe mwambie ni mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine na mwanaume wake yupo hai ikibidi watajie mpaka koo anazotoka huyo mwanamke

2: Kama bibi yako upande wa baba hayupo hai waulize dada zake na baba yao watakupa majibu

3: Kama wote hawapo hai waulize dada zako mliozaliwa tumbo moja na kwa baba mmoja waambie kabisa nataka kuoa single maza .

Wasikilize kwa makini ,usilete ujuaji wala kutetea hoja na majibu watakayokupa hakikisha unayafanyia kazi kisawasawa. Maana sisi huku Jf tumesema sana hamtaki kusikia

Nawatakia kilala heri
Aisee
 
Back
Top Bottom