Kama unataka mbegu za mazao bora ununue mbegu za Zambia na Kenya,Tanzania hii imejaa watu matapeli na Serikali haijali.

Kama unataka mbegu za mazao bora ununue mbegu za Zambia na Kenya,Tanzania hii imejaa watu matapeli na Serikali haijali.

Sijawahi elewa kiukweli Kwa nini hii Nchi imejaa watu Matapeli na Serikali Haijali kabisa.eg tunawapa wakulima mbegu za mahindi feki, Pamba feki harafu hakuna anaefidia hizo hasara Kwa mkulima.

Unajiuliza hivi Kuna Serikali kweli ? Au kazi ya Serikali Huwa ni nini hasa kama haiwezi kujali watu wake?

Aisee Kwa haya mambo,unaweza mkumbuka Magufuli.

Bahati mbaya utapeli huu wa Watanzania uko sekta zote si hospital Wala kwenye chanjo za mifugo.

Nilichojifunza hapa Tanzania jipambanie mwenyewe usitegemee Serikali Wala programu zake ,nyingi ni utapeli.

Kama unataka kununua mbegu hasa za mahindi nenda Kenya,Zambia, Zimbabwe na South Africa.
Ni kweli....mfano msimu huu nahisi Mbolea imechakachuliwa saana asee....hasa hasa UREA......pia serikali iko kimya saana wafanya biashara wanaibia wakulima kinyama: Bei ya Ruzuku mbolea unakuta risiti inasoma 76690...ila mfanya biashara anagongesha 77000-80000 no body cares❗❗❗
 
Ni kweli....mfano msimu huu nahisi Mbolea imechakachuliwa saana asee....hasa hasa UREA......pia serikali iko kimya saana wafanya biashara wanaibia wakulima kinyama: Bei ya Ruzuku mbolea unakuta risiti inasoma 76690...ila mfanya biashara anagongesha 77000-80000 no body cares❗❗❗
Duu watu wanachakachua Hadi mbolea?
 
Sijawahi elewa kiukweli Kwa nini hii Nchi imejaa watu Matapeli na Serikali Haijali kabisa.eg tunawapa wakulima mbegu za mahindi feki, Pamba feki harafu hakuna anaefidia hizo hasara Kwa mkulima.

Unajiuliza hivi Kuna Serikali kweli ? Au kazi ya Serikali Huwa ni nini hasa kama haiwezi kujali watu wake?

Aisee Kwa haya mambo,unaweza mkumbuka Magufuli.

Bahati mbaya utapeli huu wa Watanzania uko sekta zote si hospital Wala kwenye chanjo za mifugo.

Nilichojifunza hapa Tanzania jipambanie mwenyewe usitegemee Serikali Wala programu zake ,nyingi ni utapeli.

Kama unataka kununua mbegu hasa za mahindi nenda Kenya,Zambia, Zimbabwe na South Africa.
Hapo unazungumzia wakulima wakubwa. Sasa wabongo wengi mtu maximum ana ekari 2, 3 au 4 mwisho. Hapo gharama ya kuagiza Kenya au Zambia inakuwaje? economies of scale inagoma
 
Back
Top Bottom