Kama unataka ufanikiwe maishani wape wanyama chakula

Kama unataka ufanikiwe maishani wape wanyama chakula

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mtu mzuri anafuga kuku,mbwa na paka na daima akiangalia kikosi cha mifugo yake anaionea huruma anaipa chakula.


Mtu mbaya utamjuaje? anakula samaki ila ana uchu hatari yaani hata nyau apite pembeni hampi hata mfupa.Na hata kama akifuga hawezi kuwahudimia mifugo hawezi KUWAPA chakula asubuhi..

Mtu mwema utamjua tu namna ana vyodeal na mifugo ya home.Na Tena ukifuga AUTOMATICALLY njaa inakukimbia
 
Mtu mzuri anafuga kuku,mbwa na paka na daima akiangalia kikosi cha mifugo yake anaionea huruma anaipa chakula.


Mtu mbaya utamjuaje? anakula samaki ila ana uchu hatari yaani hata nyau apite pembeni hampi hata mfupa.Na hata kama akifuga hawezi kuwahudimia mifugo hawezi KUWAPA chakula asubuhi..

Mtu mwema utamjua tu namna ana vyodeal na mifugo ya home.
Chakula ni ibada yenye baraka na laana pia kutegemea unakichukuliaje na unakitumiaje
 
Mtu mzuri anafuga kuku,mbwa na paka na daima akiangalia kikosi cha mifugo yake anaionea huruma anaipa chakula.


Mtu mbaya utamjuaje? anakula samaki ila ana uchu hatari yaani hata nyau apite pembeni hampi hata mfupa.Na hata kama akifuga hawezi kuwahudimia mifugo hawezi KUWAPA chakula asubuhi..

Mtu mwema utamjua tu namna ana vyodeal na mifugo ya home.
Kuna Mtu alishawahi nambia kitu hiki ila yeye alitolea Mfano wa njiwa akanambia wale wachache wanaozitumia vizuri Asubuhi wakizipa chakula hutanguliza na maombi",

Kama ambavyo wanakula na kufurahi njiwa Hawa nami Siku yangu ikawe hivyo.
 
Hiyo ni law of nature kuwa unapowasaidia viumbe chakula inaweza kuwa miti , wadudu ,binadamu unakuwa umeendeleza uumbaji hivyo kuna positive energy itakurudia .

Kinachomata ni intention nia mfano wewe Ndege john unaweza ukapata positive energy kubwa utavyomfuga paka kuliko mbuzi kwakuwa paka unamfuga with zero interest Ila mbuzi unamfuga kwa kitoweo .

So Kama hao Kuku unawafuga ili wakue upate kitoweo hakuna energy utapata
 
Mtu mzuri anafuga kuku,mbwa na paka na daima akiangalia kikosi cha mifugo yake anaionea huruma anaipa chakula.


Mtu mbaya utamjuaje? anakula samaki ila ana uchu hatari yaani hata nyau apite pembeni hampi hata mfupa.Na hata kama akifuga hawezi kuwahudimia mifugo hawezi KUWAPA chakula asubuhi..

Mtu mwema utamjua tu namna ana vyodeal na mifugo ya home.
Mwagilia mimea hapo nje hata kama haitoi matunda
 
Mtu kazi yake ni kupanda Michongoma nyumban kwake ila kwa kununia wenzie wenye miembe hajambo.
 
Mtu mzuri anafuga kuku,mbwa na paka na daima akiangalia kikosi cha mifugo yake anaionea huruma anaipa chakula.


Mtu mbaya utamjuaje? anakula samaki ila ana uchu hatari yaani hata nyau apite pembeni hampi hata mfupa.Na hata kama akifuga hawezi kuwahudimia mifugo hawezi KUWAPA chakula asubuhi..

Mtu mwema utamjua tu namna ana vyodeal na mifugo ya home.
exactly!
 
Mtu mzuri anafuga kuku,mbwa na paka na daima akiangalia kikosi cha mifugo yake anaionea huruma anaipa chakula.


Mtu mbaya utamjuaje? anakula samaki ila ana uchu hatari yaani hata nyau apite pembeni hampi hata mfupa.Na hata kama akifuga hawezi kuwahudimia mifugo hawezi KUWAPA chakula asubuhi..

Mtu mwema utamjua tu namna ana vyodeal na mifugo ya home.Na Tena ukifuga AUTOMATICALLY njaa inakukimbia
“Mwenye haki huufikiri uhai wa mnyama wake; Bali huruma za mtu mwovu ni ukatili."
— Mithali 12:10 (Biblia Takatifu)
 
Back
Top Bottom