Kama unataka Ukuu wa Wilaya nenda DRC. M23 imetangaza kuunda Serikali mpya huko Kivu pamoja na kufanya teuzi

Kama unataka Ukuu wa Wilaya nenda DRC. M23 imetangaza kuunda Serikali mpya huko Kivu pamoja na kufanya teuzi

Willy Manzi

1739017515291.jpeg

Naibu Gavana mpya wa Kivu ya Kaskazini bwana Manzi Willy Ngarambe kabla ya uteuzi wa tarehe 6 February 2025 akiwa mstari wa mbele kuchukua mji wa Goma chini ya kundi la M23

1739017630861.jpeg

Manzi Willy Ngarambe ateuliwa kuwa mwakilishi wa diaspora ya M23 kimataifa kufuatia uteuzi huo kuwa June 10 2024 kimataifa

HAKUTAKUWA NA FDLR HUKO GOMA MUDA MAKAMU WA GAVANA WA KIVU KASKAZINI JUU YA UHUSIANO NA JIJI LA GOMA.


View: https://m.youtube.com/watch?v=zbkqAxGU1pA
 
Back
Top Bottom