Kama unatumia 'self contained house' jua ya kwamba unamuenzi mtu huyu

Kama unatumia 'self contained house' jua ya kwamba unamuenzi mtu huyu

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
2,660
Reaction score
3,501
Habari zenu,

Kabla ya kuanza naomba niwatahadharishe ya kwamba kama mtu siyo muumini wala siyo kesi simlazimishi kukubaliana na mimi, asijisumbue!

Sasa tuendelee...

Dini ni mfumo ambao unategemea zaidi masimulizi ya kale. Masimulizi hayo yanahusu watu wema na wabaYa ambapo muumini analazimika kufuata yaliyofanywa na watu wema na kujiepusha na yaliyofanywa na watuwabaYya

Kulikuwa na mtu mwovu sana aliyeitwa Firauni (Farao) ambaye alikusanya watu akatangaza kuwa yeye ni Mungu. Mkewe akamchalenji kwamba Mungu gani anakwenda haja kama watu wengine. Watu nao wakashikilia hoja hiyo ndipo jamaa akaamua kujiandalia mfumo ndani ya nyumba yake ambao ulimwezesha kumaliza haja zake bila kuonekana na watu.

Mfumo huo aliouanzisha mtu huyo ndio huu ambao kwa sasa wameuboresha na kuuita self contained maarufu kama selfu kontena. Kwahiyo ndugu yangu unayeshangilia mfumo huo jitafakari kwa mara nyingine

Ahsanteni
 
Hizi si ndo mnaita Hadithi?
Kwa hiyo Sisi hii Hadithi yako inatufundisha nini?
 
Habari zenu...

Kabla ya kuanza naomba niwatahadharishe ya kwamba kama mtu siyo muumini wala siyo kesi simlazimishi kukubaliana na mimi, asijisumbue!

Sasa tuendelee...
Dini ni mfumo ambao unategemea zaidi masimulizi ya kale. Masimulizi hayo yanahusu watu wema na wabaYa ambapo muumini analazimika kufuata yaliyofanywa na watu wema na kujiepusha na yaliyofanywa na watu wabaYa

Kulikuwa na mtu mwovu sana aliyeitwa Firauni (Farao) ambaye alikusanya watu akatangaza kuwa yeye ni Mungu. Mkewe akamchalenji kwamba Mungu gani anakwenda haja kama watu wengine. Watu nao wakashikilia hoja hiyo ndipo jamaa akaamua kujiandalia mfumo ndani ya nyumba yake ambao ulimwezesha kumaliza haja zake bila kuonekana na watu

Mfumo huo aliouanzisha mtu huyo ndio huu ambao kwa sasa wameuboresha na kuuita self contained maarufu kama selfu kontena. Kwahiyo ndugu yangu unayeshangilia mfumo huo jitafakari kwa mara nyingine

Ahsanteni
Hii kamba ya buibui
 
Habari zenu...

Kabla ya kuanza naomba niwatahadharishe ya kwamba kama mtu siyo muumini wala siyo kesi simlazimishi kukubaliana na mimi, asijisumbue!

Sasa tuendelee...
Dini ni mfumo ambao unategemea zaidi masimulizi ya kale. Masimulizi hayo yanahusu watu wema na wabaYa ambapo muumini analazimika kufuata yaliyofanywa na watu wema na kujiepusha na yaliyofanywa na watu wabaYa

Kulikuwa na mtu mwovu sana aliyeitwa Firauni (Farao) ambaye alikusanya watu akatangaza kuwa yeye ni Mungu. Mkewe akamchalenji kwamba Mungu gani anakwenda haja kama watu wengine. Watu nao wakashikilia hoja hiyo ndipo jamaa akaamua kujiandalia mfumo ndani ya nyumba yake ambao ulimwezesha kumaliza haja zake bila kuonekana na watu

Mfumo huo aliouanzisha mtu huyo ndio huu ambao kwa sasa wameuboresha na kuuita self contained maarufu kama selfu kontena. Kwahiyo ndugu yangu unayeshangilia mfumo huo jitafakari kwa mara nyingine

Ahsanteni
Haya ni mawazo ya kutaka kurudisha watu kwenye ujima.
 
Back
Top Bottom